Makapuku Forum

Makapuku Forum

87562a2539384d126cce75ee0ac222f6.jpg
End
.....
Thanks bitoz
 
9/Semaphores Flag
ac79838c04fdbe9a895f2ca11142ba20.jpg

Hizi bendera maalumu kwa ajili ya kumfikishia ujumbe mtu kwa Lugha picha Na ishara
Mfano kwenye mbio za magari,kuongoza magari barabarani,kwenye soka n.k
Mara ya kwanza zilitumika mwaka 1800's wakati wa Battle of Trafalgar ambapo mtu alishika vibendera mkononi na kupungia watu sijui waendesha na utamaduni huu kudumu hadi leo
....
 
Ukitoa kwa wema ,unaongezewa hata wanyama wanashukuru....kuna ndege alikua analishwa na mama mmoja kila akienda kwenye eneo la huyo mama alimpa nafaka na maji...baada ya muda huyu mama alifariki akazikwa..sasa hivi kama kuna mtu anaenda kuangalia kaburi huyu ndege anaongoza hadi kaburini..analizunguka hata kama mtu ni mgeni atalifahamu kaburi..watu wengi wanaenda kimekua kivutio, wema hauozi
Aisee, wapi huko mama mchungaji
 
Pia niligundua kuna watu wapo kimaslahi yaani wapo wanaolipwa na vyama/ wanasiasa kwa shughuli maalum...
Sasa mwenzangu na mimi mtu unashindia uji,vitumbua na togwa kisha unaigaiga tu kutukana viongozi,bwana yule,wanasiasa n.k si utaumia.....Hivyo wanaojitoa ufahamu wanajua walifanyalo na wanachokipata tusiwaige

Pia wengine wapo nje ya nchi hawana wasiwasi na usalama wao

Mimi siku hizi tayari nina marafiki wanaonifahamu hadi sura na baadhi ninapoishi sasa siwezi kumjua yupi rafiki mwema yupi muovu hivyo mambo ya kiherehere inabidi niachana nayo hata hapa KF nishapunguza kumsema bwana yule,viongozi,serikali n.k
.........
Ukweli sasa hivi ni hatari
 
8/Nepal Flag
8a791a0b40b5259e87a07824a5d6a01d.jpg

Ukiiangalia unaweza kufikiri ni tambala la deki au bendera ya wavuta bangi .....la hasha hii ni bendera ya Taifa
Nepal ndo nchi pekee yenye bendera isiyo ya pembe nne
Rangi nyekundu ni alama ya ushindi vitani
Bluu inawakilisha amani
Wakati nyota na mwezi zina sura ya mtu/ kuwakilisha watu
.....
 
7/White Flags
ae68e8d32bc78e6e355e13de057ea659.jpg

Bendera nyeupe hutumika kama ishara ya kuomba suluhu,kuomba kufikia mwafaka/kukaa meza ya majadiliano
Vitani hutumika kama ishara ya mtu kujisalimisha a.k.a nipo chini ya miguu yako naweka silaha chini, nikamate nimekubali kushindwa
........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom