Makapuku Forum

Makapuku Forum

maunjanja kwa husna.. usije ukanuna mwaka mzima siku maji yakimwagika


...hata povu halimwagiki itakuwa maji yenyewe

ymvOCVv.gif
 
Ukitoa kwa wema ,unaongezewa hata wanyama wanashukuru....kuna ndege alikua analishwa na mama mmoja kila akienda kwenye eneo la huyo mama alimpa nafaka na maji...baada ya muda huyu mama alifariki akazikwa..sasa hivi kama kuna mtu anaenda kuangalia kaburi huyu ndege anaongoza hadi kaburini..analizunguka hata kama mtu ni mgeni atalifahamu kaburi..watu wengi wanaenda kimekua kivutio, wema hauozi
Duh interesting
......
 
TOP TEN
Bendera ni utambulisho wa Nchi,sehemu,tukio n.k
Hata klabu za mpira zina bendera vyama vina bendera na mimi ghetto langu linabendera ya kivyangu vyangu
Sasa tuone bendera zenye maana,historia au muonekano wa kipekee
Karibuni
......
 
10/Dannebrog Flag
1f3f62bfa955e019cdde26af2dd1cfae.jpg

Hii ndo bendera ya Taifa la Denmark
Ndo bendera pekee iliyobuniwa karne ya 13 na haijabadilishwa kitu hadi leo
Ilianza kutumika Na Dannebrog State Juni 15 1219 ....hili ni miongoni mwa dola kongwe duniani
Muundo huu wa bendera ukaja kuigwa na maarifa kibao haswa nchi za Scandinavia
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom