Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mdau Bitoz naona leo mbuzi wako umewatembeza mjini ....
fb86f51c336b7be60db630078427a56c.jpg
Au ulitaka waende Msimbazi kula nyasi bandia

......
 
Muziki: Makosa Hayako Mbali, Ikaribie Sheria

Ni siku nyingine tena tunakutana hapa baada ya kuwa tumefanya michakato ya kujiingizia kipato. ubinadamu kamili ni kuwajibika kwako mwenyewe, family na taifa kwa ujumla.

Nasema kila wakati na sitochoka kusema kuwa uwepo wako hapa, yes, wewe Kapuku mwenzangu una maana kubwa sana kwenye jukwaa hili. Hii ni kwa sababu unaleta kitu cha ziada ambacho huwezi kukipata sehemu nyingine (well, huwa nakuwa hapa mara nyingi na lile Jukwaa la chini kabisa-kuliweka kwao chini kulinifanya nikatafiti, sikufanya makosa)

Kuliwekwa picha ya mtoto akichafua sakafu isiyokauka na wadau torvic , Clkey , Sakayo na BH kutaja wachache walichangia na haja ya mtoto kuachwa ajifunze ikaibuka nami naongeza makosa ni kosa, hilo la kwanza. Si kwa mtoto wala mtu mzima isipokuwa mtoto ana haki ya kuyafanya maana asipoyafanya sasa kujifunza itakuwa ngumu. Anaruhusiwa kufanya makosa akijifunza kutembea, ataanguka na usipomwangalia ataamka na kutembea tena, ukimwangalia atajua kakosea na atalia umuhurumie. Tuwafundishe watoto kuwa mbali na makosa sababu sheria ikaribiwe kisawasawa. Sijamaliza.

Kingine, leo Wi-Fi hapa ninapodoea imekuwa na shida na inakuja kwa mbwembwe kama ripoti ya makinikia lakini nikitaka niupload itu inagoma yaani kama waziri anakataa kuwa ripoti ya makinikia ni ya rahisi na kwa kuwa wewe si rais sahau kujua kilichomo.

Muziki sasa, wakati mwingine ni furaha sana kumtazama mwanamuziki akighani bila kuwaona wapiga vyombo kama gitaa, tumba na kadha wa kadha vyombo. Ndicho tutakachoangalia leo

Anaitwa Rory Graham almaarufu Rag'n'Bone Man, na sasa hivi anatamba na wimbo wake Human. Ni mwingereza na sifa zake zinatambaa sasa kutokana na wimbo huu ambao unachezwa sana online. Hebu burudika na wimbo huu, natamani mashairi niliyokuwa naandika miaka ya A-level ningeyawekea umiliki maana hakyanani tena mengi yaliyoimbwa yamefanana


Asante Obe Ubarikiwe ,asante kwa wimbo mzuri...wewe ni mtu muhimu mahali hapa,nimeburudika
 
Muziki: Makosa Hayako Mbali, Ikaribie Sheria

Ni siku nyingine tena tunakutana hapa baada ya kuwa tumefanya michakato ya kujiingizia kipato. ubinadamu kamili ni kuwajibika kwako mwenyewe, family na taifa kwa ujumla.

Nasema kila wakati na sitochoka kusema kuwa uwepo wako hapa, yes, wewe Kapuku mwenzangu una maana kubwa sana kwenye jukwaa hili. Hii ni kwa sababu unaleta kitu cha ziada ambacho huwezi kukipata sehemu nyingine (well, huwa nakuwa hapa mara nyingi na lile Jukwaa la chini kabisa-kuliweka kwao chini kulinifanya nikatafiti, sikufanya makosa)

Kuliwekwa picha ya mtoto akichafua sakafu isiyokauka na wadau torvic , Clkey , Sakayo na BH kutaja wachache walichangia na haja ya mtoto kuachwa ajifunze ikaibuka nami naongeza makosa ni kosa, hilo la kwanza. Si kwa mtoto wala mtu mzima isipokuwa mtoto ana haki ya kuyafanya maana asipoyafanya sasa kujifunza itakuwa ngumu. Anaruhusiwa kufanya makosa akijifunza kutembea, ataanguka na usipomwangalia ataamka na kutembea tena, ukimwangalia atajua kakosea na atalia umuhurumie. Tuwafundishe watoto kuwa mbali na makosa sababu sheria ikaribiwe kisawasawa. Sijamaliza.

Kingine, leo Wi-Fi hapa ninapodoea imekuwa na shida na inakuja kwa mbwembwe kama ripoti ya makinikia lakini nikitaka niupload itu inagoma yaani kama waziri anakataa kuwa ripoti ya makinikia ni ya rahisi na kwa kuwa wewe si rais sahau kujua kilichomo.

Muziki sasa, wakati mwingine ni furaha sana kumtazama mwanamuziki akighani bila kuwaona wapiga vyombo kama gitaa, tumba na kadha wa kadha vyombo. Ndicho tutakachoangalia leo

Anaitwa Rory Graham almaarufu Rag'n'Bone Man, na sasa hivi anatamba na wimbo wake Human. Ni mwingereza na sifa zake zinatambaa sasa kutokana na wimbo huu ambao unachezwa sana online. Hebu burudika na wimbo huu, natamani mashairi niliyokuwa naandika miaka ya A-level ningeyawekea umiliki maana hakyanani tena mengi yaliyoimbwa yamefanana


Shukrani binamu
 
MATHAYO 5

38.Mmesikia imenenwa jicho kwa jicho,na jino kwa jino.

39.Lakini mimi nawaambia,Msishindane na mtu mwovu,lakini mtu akupigaye shavu la kuume,mgeuzie na la pili.

40.Na mtu atakaye kukushitaki kuitwaa kanzu yako,mwachie na joho pia.

41.Na mtu atakayekulazimisha mwendo wa maili moja,nenda naye mbili.

42.Akuombaye mpe,naye atakayekukopa kwako usimpe kisogo.

43.Mmesikia imenenwa kwamba mpende jirani yako,na umchukie adui yako.

44.Lakini mimi nawaambia ,Wapendeni adui zenu,waombeeni wanaowaudhi.

45.Ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliyembinguni,maana yeye huwaangazia jua lake waovu na wema,huwanyeshea mvua wenye haki na wasio na haki.

46.Maana mkiwapenda wanaowapenda ninyi mwapata thawabu gani?hata watoza ushuru ,je!nao hawafanyi yayo hayo?

47.Tena mkiwaamkia ndugu zenu tu,mnatenda tendo gani la ziada?Hata watu wa mataifa je!Nao hawafanyi kama hayo?

48.Basi ninyi mtakuwa wakamilifu ,kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.


BABA SIKIA KUOMBA KWETU,TUNAJUA UNAFAHAMU HAJA ZA MIOYO YETU HATA KABLA HATUJATAMKA..TWAKUOMBA UTUSIKIE..NAWATAKIA USIKU MWEMA MALAIKA WALINZI WATUZINGIRE,DAMU YA YESU ITUFUNIKE MBARIKIWE
 
MATHAYO 5

38.Mmesikia imenenwa jicho kwa jicho,na jino kwa jino.

39.Lakini mimi nawaambia,Msishindane na mtu mwovu,lakini mtu akupigaye shavu la kuume,mgeuzie na la pili.

40.Na mtu atakaye kukushitaki kuitwaa kanzu yako,mwachie na joho pia.

41.Na mtu atakayekulazimisha mwendo wa maili moja,nenda naye mbili.

42.Akuombaye mpe,naye atakayekukopa kwako usimpe kisogo.

43.Mmesikia imenenwa kwamba mpende jirani yako,na umchukie adui yako.

44.Lakini mimi nawaambia ,Wapendeni adui zenu,waombeeni wanaowaudhi.

45.Ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliyembinguni,maana yeye huwaangazia jua lake waovu na wema,huwanyeshea mvua wenye haki na wasio na haki.

46.Maana mkiwapenda wanaowapenda ninyi mwapata thawabu gani?hata watoza ushuru ,je!nao hawafanyi yayo hayo?

47.Tena mkiwaamkia ndugu zenu tu,mnatenda tendo gani la ziada?Hata watu wa mataifa je!Nao hawafanyi kama hayo?

48.Basi ninyi mtakuwa wakamilifu ,kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.


BABA SIKIA KUOMBA KWETU,TUNAJUA UNAFAHAMU HAJA ZA MIOYO YETU HATA KABLA HATUJATAMKA..TWAKUOMBA UTUSIKIE..NAWATAKIA USIKU MWEMA MALAIKA WALINZI WATUZINGIRE,DAMU YA YESU ITUFUNIKE MBARIKIWE
Ameni
 
MATHAYO 5

38.Mmesikia imenenwa jicho kwa jicho,na jino kwa jino.

39.Lakini mimi nawaambia,Msishindane na mtu mwovu,lakini mtu akupigaye shavu la kuume,mgeuzie na la pili.

40.Na mtu atakaye kukushitaki kuitwaa kanzu yako,mwachie na joho pia.

41.Na mtu atakayekulazimisha mwendo wa maili moja,nenda naye mbili.

42.Akuombaye mpe,naye atakayekukopa kwako usimpe kisogo.

43.Mmesikia imenenwa kwamba mpende jirani yako,na umchukie adui yako.

44.Lakini mimi nawaambia ,Wapendeni adui zenu,waombeeni wanaowaudhi.

45.Ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliyembinguni,maana yeye huwaangazia jua lake waovu na wema,huwanyeshea mvua wenye haki na wasio na haki.

46.Maana mkiwapenda wanaowapenda ninyi mwapata thawabu gani?hata watoza ushuru ,je!nao hawafanyi yayo hayo?

47.Tena mkiwaamkia ndugu zenu tu,mnatenda tendo gani la ziada?Hata watu wa mataifa je!Nao hawafanyi kama hayo?

48.Basi ninyi mtakuwa wakamilifu ,kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.


BABA SIKIA KUOMBA KWETU,TUNAJUA UNAFAHAMU HAJA ZA MIOYO YETU HATA KABLA HATUJATAMKA..TWAKUOMBA UTUSIKIE..NAWATAKIA USIKU MWEMA MALAIKA WALINZI WATUZINGIRE,DAMU YA YESU ITUFUNIKE MBARIKIWE
Amen
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom