Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,636
Ndio maana kuna wakati wa mapigano wapiganaji husimamisha mapigano kwa madhumuni fulani nadhani hutumia hizi bendera kusitisha kwa muda.asante kwa maelezo
Ndo ivo
.....
Ndio maana kuna wakati wa mapigano wapiganaji husimamisha mapigano kwa madhumuni fulani nadhani hutumia hizi bendera kusitisha kwa muda.asante kwa maelezo
Naomba uitume mama mchungajiNi huko nchi za kiarabu ,kuna ndugu yangu alienda hadi kwenye hilo kaburi,nitatuma clip ya hiyo kitu nikitulia ninayo...yaani ni mambo ya Mungu
Aisee4/Jolly Roger FlagHii inatumiks na mabaharia na wafanyakazi wa meli ili kutambua meli![]()
Nyingine badala ya kuweka mifupa chini ya fuvu zimewekwa mapanga,sime
Karne ya 17 na 18 zikabuniwa pia za aina tofauti tofauti
......
Asante sanaTOP TEN
Bendera ni utambulisho wa Nchi,sehemu,tukio n.k
Hata klabu za mpira zina bendera vyama vina bendera na mimi ghetto langu linabendera ya kivyangu vyangu
Sasa tuone bendera zenye maana,historia au muonekano wa kipekee
Karibuni
......
Hahahaha Obe!...hata povu halimwagiki itakuwa maji yenyewe
![]()
Uamuzi wa busara..mara nyingi kikulacho ki nguoni mwako,muhimu kuwa waangalifuPia niligundua kuna watu wapo kimaslahi yaani wapo wanaolipwa na vyama/ wanasiasa kwa shughuli maalum...
Sasa mwenzangu na mimi mtu unashindia uji,vitumbua na togwa kisha unaigaiga tu kutukana viongozi,bwana yule,wanasiasa n.k si utaumia.....Hivyo wanaojitoa ufahamu wanajua walifanyalo na wanachokipata tusiwaige
Pia wengine wapo nje ya nchi hawana wasiwasi na usalama wao
Mimi siku hizi tayari nina marafiki wanaonifahamu hadi sura na baadhi ninapoishi sasa siwezi kumjua yupi rafiki mwema yupi muovu hivyo mambo ya kiherehere inabidi niachana nayo hata hapa KF nishapunguza kumsema bwana yule,viongozi,serikali n.k
.........
Kwa shunie na demiShem kwa nani
Naikumbuka ulituhabarishaa8/Nepal Flag![]()
Ukiiangalia unaweza kufikiri ni tambala la deki au bendera ya wavuta bangi .....la hasha hii ni bendera ya Taifa
Nepal ndo nchi pekee yenye bendera isiyo ya pembe nne
Rangi nyekundu ni alama ya ushindi vitani
Bluu inawakilisha amani
Wakati nyota na mwezi zina sura ya mtu/ kuwakilisha watu
.....
AkuuuuKwa shunie na demi
Asantee1/Nazi Flag![]()
Mbunifu wa Hii bendera ni Adolf Hitler sijajua alikuwa na madhumuni gani ila ilikuwa kwa ajili ya uzalendo zaidi
Ikasambaa na kutumika kwenye mataifa kibao kama kiashiria cha unazi kisha ikazuiwa kwenye mataifa mengi miaka ya baadaye
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
.......
Bhasiii kalambe embe dodoAkuuuu
I see2/Martian Flag![]()
Inajulika zaidi kama Mars Flag au Planetary Flag
Ni bendera ya safari ya Mars...inatumiwa na Mars Society na pia Planetary Society
Wenzetu wanajiandaa kuishi huko sisi tunagombea mchanga
.....
5/Transgender Flag![]()
![]()
Kaoge na James wanaijua vizuri hii bendera kuliko bendera ya Taifa
Iliasisuwa huko Phoenix Arizona
Kwa ufupi tu
Light blue= baby boys
Pink= girls
White=wale akina Kaoge,wasagaji,wahaojisikia tofauti na jinsi yao
Ni maarufu zaidi km Rainbow flag
.....
hii kali kulikoUbarikiwe sana asante kwa 10 bora kabisa siku ya leo.1/Nazi Flag![]()
Mbunifu wa Hii bendera ni Adolf Hitler sijajua alikuwa na madhumuni gani ila ilikuwa kwa ajili ya uzalendo zaidi
Ikasambaa na kutumika kwenye mataifa kibao kama kiashiria cha unazi kisha ikazuiwa kwenye mataifa mengi miaka ya baadaye
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
.......
Thank youHongera sana