Makapuku Forum

Makapuku Forum

4/Jolly Roger Flag
e456ca510c012ce41847ab79b61fffc1.jpg
Hii inatumiks na mabaharia na wafanyakazi wa meli ili kutambua meli
Nyingine badala ya kuweka mifupa chini ya fuvu zimewekwa mapanga,sime
Karne ya 17 na 18 zikabuniwa pia za aina tofauti tofauti
......
Aisee
 
Pia niligundua kuna watu wapo kimaslahi yaani wapo wanaolipwa na vyama/ wanasiasa kwa shughuli maalum...
Sasa mwenzangu na mimi mtu unashindia uji,vitumbua na togwa kisha unaigaiga tu kutukana viongozi,bwana yule,wanasiasa n.k si utaumia.....Hivyo wanaojitoa ufahamu wanajua walifanyalo na wanachokipata tusiwaige

Pia wengine wapo nje ya nchi hawana wasiwasi na usalama wao

Mimi siku hizi tayari nina marafiki wanaonifahamu hadi sura na baadhi ninapoishi sasa siwezi kumjua yupi rafiki mwema yupi muovu hivyo mambo ya kiherehere inabidi niachana nayo hata hapa KF nishapunguza kumsema bwana yule,viongozi,serikali n.k
.........
Uamuzi wa busara..mara nyingi kikulacho ki nguoni mwako,muhimu kuwa waangalifu
 
2/Martian Flag
cc6e3660076f60d51debff60bccd73be.jpg

Inajulika zaidi kama Mars Flag au Planetary Flag
Ni bendera ya safari ya Mars...inatumiwa na Mars Society na pia Planetary Society
Wenzetu wanajiandaa kuishi huko sisi tunagombea mchanga
.....
 
1/Nazi Flag
7483c5fe93f90df6c3bc3a2e5bb8ec75.jpg

Mbunifu wa Hii bendera ni Adolf Hitler sijajua alikuwa na madhumuni gani ila ilikuwa kwa ajili ya uzalendo zaidi
Ikasambaa na kutumika kwenye mataifa kibao kama kiashiria cha unazi kisha ikazuiwa kwenye mataifa mengi miaka ya baadaye
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
.......
 
8/Nepal Flag
8a791a0b40b5259e87a07824a5d6a01d.jpg

Ukiiangalia unaweza kufikiri ni tambala la deki au bendera ya wavuta bangi .....la hasha hii ni bendera ya Taifa
Nepal ndo nchi pekee yenye bendera isiyo ya pembe nne
Rangi nyekundu ni alama ya ushindi vitani
Bluu inawakilisha amani
Wakati nyota na mwezi zina sura ya mtu/ kuwakilisha watu
.....
Naikumbuka ulituhabarishaa
 
1/Nazi Flag
7483c5fe93f90df6c3bc3a2e5bb8ec75.jpg

Mbunifu wa Hii bendera ni Adolf Hitler sijajua alikuwa na madhumuni gani ila ilikuwa kwa ajili ya uzalendo zaidi
Ikasambaa na kutumika kwenye mataifa kibao kama kiashiria cha unazi kisha ikazuiwa kwenye mataifa mengi miaka ya baadaye
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
.......
Asantee
 
1/Nazi Flag
7483c5fe93f90df6c3bc3a2e5bb8ec75.jpg

Mbunifu wa Hii bendera ni Adolf Hitler sijajua alikuwa na madhumuni gani ila ilikuwa kwa ajili ya uzalendo zaidi
Ikasambaa na kutumika kwenye mataifa kibao kama kiashiria cha unazi kisha ikazuiwa kwenye mataifa mengi miaka ya baadaye
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
Mwisho
.......
Ubarikiwe sana asante kwa 10 bora kabisa siku ya leo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom