shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Asante mama mchuchu![]()
MATHAYO 5
38.Mmesikia imenenwa jicho kwa jicho,na jino kwa jino.
39.Lakini mimi nawaambia,Msishindane na mtu mwovu,lakini mtu akupigaye shavu la kuume,mgeuzie na la pili.
40.Na mtu atakaye kukushitaki kuitwaa kanzu yako,mwachie na joho pia.
41.Na mtu atakayekulazimisha mwendo wa maili moja,nenda naye mbili.
42.Akuombaye mpe,naye atakayekukopa kwako usimpe kisogo.
43.Mmesikia imenenwa kwamba mpende jirani yako,na umchukie adui yako.
44.Lakini mimi nawaambia ,Wapendeni adui zenu,waombeeni wanaowaudhi.
45.Ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliyembinguni,maana yeye huwaangazia jua lake waovu na wema,huwanyeshea mvua wenye haki na wasio na haki.
46.Maana mkiwapenda wanaowapenda ninyi mwapata thawabu gani?hata watoza ushuru ,je!nao hawafanyi yayo hayo?
47.Tena mkiwaamkia ndugu zenu tu,mnatenda tendo gani la ziada?Hata watu wa mataifa je!Nao hawafanyi kama hayo?
48.Basi ninyi mtakuwa wakamilifu ,kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.
BABA SIKIA KUOMBA KWETU,TUNAJUA UNAFAHAMU HAJA ZA MIOYO YETU HATA KABLA HATUJATAMKA..TWAKUOMBA UTUSIKIE..NAWATAKIA USIKU MWEMA MALAIKA WALINZI WATUZINGIRE,DAMU YA YESU ITUFUNIKE MBARIKIWE
![]()
![]()
![]()
Nawe pia barikiwaUcku mwema wapendwa
Karibu T wa Sakayo ubarikiweAsante mama mchuchu
Asante kwa sala, nalala sasa![]()
MATHAYO 5
38.Mmesikia imenenwa jicho kwa jicho,na jino kwa jino.
39.Lakini mimi nawaambia,Msishindane na mtu mwovu,lakini mtu akupigaye shavu la kuume,mgeuzie na la pili.
40.Na mtu atakaye kukushitaki kuitwaa kanzu yako,mwachie na joho pia.
41.Na mtu atakayekulazimisha mwendo wa maili moja,nenda naye mbili.
42.Akuombaye mpe,naye atakayekukopa kwako usimpe kisogo.
43.Mmesikia imenenwa kwamba mpende jirani yako,na umchukie adui yako.
44.Lakini mimi nawaambia ,Wapendeni adui zenu,waombeeni wanaowaudhi.
45.Ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliyembinguni,maana yeye huwaangazia jua lake waovu na wema,huwanyeshea mvua wenye haki na wasio na haki.
46.Maana mkiwapenda wanaowapenda ninyi mwapata thawabu gani?hata watoza ushuru ,je!nao hawafanyi yayo hayo?
47.Tena mkiwaamkia ndugu zenu tu,mnatenda tendo gani la ziada?Hata watu wa mataifa je!Nao hawafanyi kama hayo?
48.Basi ninyi mtakuwa wakamilifu ,kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.
BABA SIKIA KUOMBA KWETU,TUNAJUA UNAFAHAMU HAJA ZA MIOYO YETU HATA KABLA HATUJATAMKA..TWAKUOMBA UTUSIKIE..NAWATAKIA USIKU MWEMA MALAIKA WALINZI WATUZINGIRE,DAMU YA YESU ITUFUNIKE MBARIKIWE
![]()
![]()
![]()
Nafikiri hukunielewa...
Nimeuliza, ni nani anaeweza kuitwa mwalimu????
Lala salama ObeAsante kwa sala, nalala sasa

MUNGU BABA MWENYEZI Asante kutuamsha salama,tutakase kwa damu takatifu ya mwanao,tuongoze,tufufundishe ,tusimamie tupe moyo safi tutende mema,tufanye kazi kwa bidii,tutengeze amani kwa gharama yoyote,tuchukuliane kwa upendo na tuwasamehe wanaotukosea kama wewe unavyotusamehe,tuepushe na hatari zote za mwili na roho.
SIKU NJEMA MBARIKIWE

AminaMUNGU BABA MWENYEZI Asante kutuamsha salama,tutakase kwa damu takatifu ya mwanao,tuongoze,tufufundishe ,tusimamie tupe moyo safi tutende mema,tufanye kazi kwa bidii,tutengeze amani kwa gharama yoyote,tuchukuliane kwa upendo na tuwasamehe wanaotukosea kama wewe unavyotusamehe,tuepushe na hatari zote za mwili na roho.
Asante maana utatenda sawa na mapenzi yako,mapenzi yako yatimizwe katika jina la Yesu,AmenSIKU NJEMA MBARIKIWE
![]()
![]()