Makapuku Forum

Makapuku Forum

I seee! Hatari...upo mwaka pale KIBAHA..wakati wabutawalabwa Che...Nkapa walikuja watu na barua toka ikulu kuwa watoe wachawi..serikali za mtaa zisimamie..jamani niliona maajabu kwa macho yangu ..walikua da dawa unakunywa na unalipa elfu moja waliokataa wote walikufa..waliokunywa na kurudia wote hawapo,waliokunywa na kuacha uchawi wengi walifilisika hakika haya mambo uyasikie tu...
Ya kweliii hayo??
 
9/Tanzania
52688bacde5cb37154d1061f9a6e5e71.jpg
dfe5006d3462358957b858b3c787c494.jpg
9e2ddd1bc5332d4294844925d40b6de4.jpg
Ukitaka kujua Watanzania wengi wanaamini katika ushirikina kuliko kumwamini Mungu basi fuatilia thread za njemba fulani zinavyoshabikiwa na hadi kuitwa sijui member mwenye busara zaidi JF kisa tu anaandika zaidi ushirikina na Hivyo kawa maarufu na kuwateka watu
Usijiulize kwanini mauaji ya albino hayakomi...sababu tu tumejikita kwenye ushirikina
Fulani watu wanaweka vipande vya mkaa eti kujikinga na chuma ulete...makanisani nako wachungaji feki wana nguvu za giza
Wanasiasa nao washirikina
Watanzania ni washirikina balaa ndiyo maana CCM haitoki madarakani
.......
 
8/Nepal
c56ee88c887516f63e6dd10ebd8d9f55.jpg
875a2d6a6d9b00dff3c7f2e2d073bd79.jpg
]Hii ndo nchi pekee duniani ambayo bendera yake siyo ya mstatili yaani siyo pembe nne labda imewekwa kichawi tu
Waasia hawa nao ni balaa linapokuja suala la ushirikina...
Mfano mwaka 2012 ilivuma habari ya msukule wa kike na kutikisa dunia nzima yaani mwanamke aliyekufa na kuzikwa alipatikana akiwa msukule
Uchawi wao unavuma tangu karne ya 17
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom