Makapuku Forum

Makapuku Forum

9/Tanzania
52688bacde5cb37154d1061f9a6e5e71.jpg
dfe5006d3462358957b858b3c787c494.jpg
9e2ddd1bc5332d4294844925d40b6de4.jpg
Ukitaka kujua Watanzania wengi wanaamini katika ushirikina kuliko kumwamini Mungu basi fuatilia thread za njemba fulani zinavyoshabikiwa na hadi kuitwa sijui member mwenye busara zaidi JF kisa tu anaandika zaidi ushirikina na Hivyo kawa maarufu na kuwateka watu
Usijiulize kwanini mauaji ya albino hayakomi...sababu tu tumejikita kwenye ushirikina
Fulani watu wanaweka vipande vya mkaa eti kujikinga na chuma ulete...makanisani nako wachungaji feki wana nguvu za giza
Wanasiasa nao washirikina
Watanzania ni washirikina balaa ndiyo maana CCM haitoki madarakani
.......
Aisee
 
8/Nepal
c56ee88c887516f63e6dd10ebd8d9f55.jpg
875a2d6a6d9b00dff3c7f2e2d073bd79.jpg
]Hii ndo nchi pekee duniani ambayo bendera yake siyo ya mstatili yaani siyo pembe nne labda imewekwa kichawi tu
Waasia hawa nao ni balaa linapokuja suala la ushirikina...
Mfano mwaka 2012 ilivuma habari ya msukule wa kike na kutikisa dunia nzima yaani mwanamke aliyekufa na kuzikwa alipatikana akiwa msukule
Uchawi wao unavuma tangu karne ya 17
......
Duh aisee
 
7/India
f445af2d5fb9cd53b52b76631f30e795.jpg
ec1e4d0bd890089ab2fb5cf1696bf775.jpg
5bfac6241c57cb5c5290d5dce587e2a2.jpg

Wahindi wamejaaliwa mvuto wa sura lakini mioyo yao imejaa ushirikina achilia mbali tabia yao ya uchafu uliopitiza
Mfano Oktoba 14 BBC iliripoti habari kuhusi binti mmoja kutoka Bemetara District kwamba alitolewa kafara ya mtoto wa kiume na ndugu zao wakiamini itamsaidia kupata ujauzito .....asiye na mwana abebe jiwe kuliko kwenda kwa sangoma
......
 
....mambo ya kwenye sikukuu si tulikubaliana yanaishia pale pale tulipokula pilau bombadier, usiharibu mjomba
Bhinamu unamjua fika aunt yako mimi nimefika naomba chakula anasema eti nirudi nilipokuwa ...ila sijamwambia chochote ....

Unamuona na fitina zake ...

Ila bhinamu ngoja kwanza hivi mama ashura ndo anavojua kupika hivo???

Salaaamu bhinamu
 
7/India
f445af2d5fb9cd53b52b76631f30e795.jpg
ec1e4d0bd890089ab2fb5cf1696bf775.jpg
5bfac6241c57cb5c5290d5dce587e2a2.jpg

Wahindi wamejaaliwa mvuto wa sura lakini mioyo yao imejaa ushirikina achilia mbali tabia yao ya uchafu uliopitiza
Mfano Oktoba 14 BBC iliripoti habari kuhusi binti mmoja kutoka Bemetara District kwamba alitolewa kafara ya mtoto wa kiume na ndugu zao wakiamini itamsaidia kupata ujauzito .....asiye na mwana abebe jiwe kuliko kwenda kwa sangoma
......
Duh
 
Bhinamu unamjua fika aunt yako mimi nimefika naomba chakula anasema eti nirudi nilipokuwa ...ila sijamwambia chochote ....

Unamuona na fitina zake ...

Ila bhinamu ngoja kwanza hivi mama ashura ndo anavojua kupika hivo???

Salaaamu bhinamu
Leo mnichukue na mie nikale pilau makinikia kwa mama ashura mvaa shanga 700 jaman
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom