Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,277
- 35,630
Why HIM...SAMAHANI KWANINI TUSIWASILIANE NA CHUO ILA HUYU?NAPATA SHIDA NIKIONA MATANGAZO HAYA
Umejiuliza nilivyojiuliza? Huyu ni mrajisi au mwakilishi mkazi au dalali wa chuo, mshauri wa masomo au ni 'msanii' tu. Maana chuo sina campus hapa nchini?
stay blessed