Makapuku Forum

Makapuku Forum

4a1cfb98b3b9cb35fa360af7ae886ef2.jpg
Ubarikiwe sanq Sakayo wa T
 
Niyonzima tena ??

Nimeona Victor Wanyama mchezaji mzaliwa wa kenya anayekipiga Spurs ambaye kiukweli soka la kenya analipatia sifa ...na kwake pia Jana kwenye mitandao hope ni kweli huku kwetu Dar es salaam ubungo kapewa mtaa kwa jina lake ...ok ni nzuri na kiukweli ni heshima kubwa ...swali Langu Huyu Mkenya kasaidia nini hapa kwetu au hapo Ubungo mpka anapewa heshima hiyo kubwa wakati kama kigezo mpira mbona tunao wengi hapa wakongwe na wanaondelea kuipeperusha bendera yetu....

Haijaniingiaa akilini
Hata mimi nimeshangaa sana

Tuna kizazi kilichocheza africon miaka ya themanini huko lakini hata mchezaji mmoja wao tu hata jina la mtaa hamna

Kweli hatuthamini vya kwetu
 
Niyonzima tena ??

Nimeona Victor Wanyama mchezaji mzaliwa wa kenya anayekipiga Spurs ambaye kiukweli soka la kenya analipatia sifa ...na kwake pia Jana kwenye mitandao hope ni kweli huku kwetu Dar es salaam ubungo kapewa mtaa kwa jina lake ...ok ni nzuri na kiukweli ni heshima kubwa ...swali Langu Huyu Mkenya kasaidia nini hapa kwetu au hapo Ubungo mpka anapewa heshima hiyo kubwa wakati kama kigezo mpira mbona tunao wengi hapa wakongwe na wanaondelea kuipeperusha bendera yetu....

Haijaniingiaa akilini
Ishu imrfanywa kiutalii zaidi
Atavutia wengine Kuna bongo
Pia huko Ulaya wataandika "Wanyama apewa mtaa bongo"
........
 
Muhimu malengo yetu yametimia

1/Wengi tumekuwa marafiki hapahapa pia hadi nje ya JF(wengine hadi wamekuwa wapenzi.....wengine kusaidiana hadi kwenye shida na raha)

2/Tunajifunza mengi humu kupitia post mbalimbali haswa segment hivyo tumeongeza maarifa(wapo pia wanaJf kibao tu wanaitegemea hii thread kupata mawili matatu hadi wazee wanaingia kufuatilia segment maana hawakutani na matusi wala ujingaujinga )

Hayo ndo malengo yetu makuu na tunayatimiza
God bless Makapuku
........
MUNGU ATUBARIKI DAIMA......

WARUMI 8

31.Basi tuseme nini juu ya hayo?Mungu akiwapo upande wetu ni nani aliye juu yetu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom