Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
New couple in town

New couple in town

Nyiee nawaona mjueeeNdio habari ya mjini, japo inafichwafichwa
Hivi twiga anawea kujificha kwenye nyasi?
hawezi mpendwa ataonekana tu kutokana na urefu wake
AsanteeEnd![]()
......
Kumbe tabia ya watu kuigaiga vitu wanavyobuni wenzao ilianza zamani sana......ni dalili ya watu kuishiwa ubunifu
Maji kufanya poa
hawezi mpendwa ataonekana tu kutokana na urefu wake
Ndo maana nimesema kiutalii zaidiMorning madenge ....
Kuhusu hilo bado sana kunishawishiii ...utalii weka kando
Kwelii kuiga kupo enz na enzKumbe tabia ya watu kuigaiga vitu wanavyobuni wenzao ilianza zamani sana......ni dalili ya watu kuishiwa ubunifu
Matokeo yake vinakosekana vitu vipya vya kuvutia
.
.
.
.
Ahsante mdau kwa facts
......
hawezi mpendwa ataonekana tu kutokana na urefu wake
Unawazungumzia akina Leodger Tenga,Peter Tino,Gibson Sembuli n.kHata mimi nimeshangaa sana
Tuna kizazi kilichocheza africon miaka ya themanini huko lakini hata mchezaji mmoja wao tu hata jina la mtaa hamna
Kweli hatuthamini vya kwetu
Mpendwa VP?! Mbona maswali yako ya kimitego hivyo![]()
![]()
![]()
Pamoja sanaMaji kufanya poa
Kupambana na bwana yule haiwezekani sana sana watazidi kumwandama na kumchafua km alichofanya Bashite kwenye unga
.
.
.
.
Ahsante kwa magazeti
....
.
Yeah najivunia kuwa mpendwa wake![]()
![]()
![]()