BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Ahsante kwako pia ShululuView attachment 530236Mpaka hapo sina la ziada kutoka magazetini kwa udhamini mnono wa BH,Mama mchungaji
Nawatakieni jumapili njema
Mungu yu mwema kwa uonyaji wakeEnd![]()
......
Asante kwa segment hii mkuu Bitoz ubarikiwe.End![]()
......
Why HIM...SAMAHANI KWANINI TUSIWASILIANE NA CHUO ILA HUYU?NAPATA SHIDA NIKIONA MATANGAZO HAYATANGAZO TANGAZO TANGAZO
Tukielekea kwenye msimu mpya wa masomo
Wale wote wenye ndugu, Watoto Jamaa,Marafiki au wao wenyewe kama wanahitaji kujiunga na Chuo Kikuu Cha Kimataifa cha Kampala(Kampala International University-KIU) Tawi la Dar es salaam kwa kusoma kozi mbalimbali katika fani ya Biashara, Afya, Sayansi ya jamii, Elimu, Sheria na Sayansi ya Computer katika ngazI zote kuanzia Cheti, Diploma, hadi Degree fomu zinapatikana popote ulipo kwa kuwasiliana na Mr Hommy Sasya kwa simu no +255715896366
"Exploring the Heights"
Hata mimi najiuliza maswali mengiHiyo # siyo ya "mpigaji" ?
....
UbarikiweWakuu niwatakie weekend njema nimepita niwasalimie maana nimewamis sana tuonane wiki ijayo
UbarikiweNjema dada Niko safari nikirudi tutaungana tena
Asantee mkuuAsante kwa hadithi na UF
Jumapili njema mme mwee
KaribuuTUPATE DONDOO ZA MAGAZETI YA LEO
MorningTwende kazi Shululu
Pamojaa mkuuAhsante kwako pia Lee
Tuwaombee sana watoto...ndio maana wanaitwa watoto..wakati mngine tujiulize tulipokuwa watoto ilikuaje?kila mtu anahistoria yake katika mapito ya utoto bila kusaidiwa tusingekua hapa tulipo...hata mkuu naye alikua mtoto alifikaje alipo hakuna aliyezuka tu na kuwa kama alivyo hakika tukitafakari tulikotoka tutakua na sababu ya kuwaona watoto wetu na wa wenzetu kwa jicho tofauti...sio vzr kusema yeye anamtoto anachagamoti kiafya kila siku anaenda kwa TB Joshua ...hata TB Joshua alipokuja aliongea sana na yule mtoto kwa upendo na concern tuliona live ......mbona hajamuacha...jamani Mungu atusaidie.Ni kweli, mimi nina ushahidi wa wahanga, baada ya kurudi shule walifanya vizuri zaidi, kuna mmoja sasa anachukua PhD Australia, lakini asingeendelea na shule ndio ingekuwa mwisho wa maisha yake
FineKapukuz how are you?
Tucheke kidogo
Ni kumuangalia tuAtarudi tena Huyu alikuwaga anapost zile "mfyuiuuuuuuu"
Ushamsahau nini? Nilijisikia tu kumjibu maana kila siku anakuja kuzingua huwa tu namuognore
....
Niyonzima tena ??
kapewa mtaa kwa jina lake ...ok ni nzuri na kiukweli ni heshima kubwa ...swali Langu Huyu Mkenya kasaidia nini hapa kwetu au hapo Ubungo mpka anapewa heshima hiyo kubwa wakati kama kigezo mpira mbona tunao wengi hapa wakongwe na wanaondelea kuipeperusha bendera yetu....NashangaaHivi huyu mnampaje like
