Makapuku Forum

Makapuku Forum

Name calling ni kutukanana matusi na lugha nyingine za kukera! Na hasa pale mnapokuwa hamtaniani.

Mfano, mimi hupenda kuandika mhamiaji haramu, kama nitamtaja memba wa hapa kama mhamiaji haramu ilhali inajulikana kabisa hatuna utani wa namna yoyote basi hii ni tusi au lugha ya kukera.

Napenda utanilakini si wa kukwazana na kama hatutaniani basi siwezi kufanya utani wa kukera hata sikumoja. Ikitokea nitaomba radhi
Well say
 
Haya jamaan mwezi umeonekana kibiti
89cf7c256155a3575bae1c18be481186.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom