Hata mimi nimeshangaa sana
Tuna kizazi kilichocheza africon miaka ya themanini huko lakini hata mchezaji mmoja wao tu hata jina la mtaa hamna
Kweli hatuthamini vya kwetu

Morning madenge ....Ishu imrfanywa kiutalii zaidi
Atavutia wengine Kuna bongo
Pia huko Ulaya wataandika "Wanyama apewa mtaa bongo"
........
Kweli kabisaaaGood morning wote
Tupate maneno kuntu mawili matatu ya Jumapili maana hii ni Siku special![]()
Kweli kabisaaa
AsanteeAmani yangu nawaachia;Amani yangu nawapa;Niwapavyo mimi sivyo kama ulimwengu utoavyo msifadhaike mioyoni mwenu wala msiwe na woga
Wish you a blessing Sunday
Sana aisee![]()
hilo jina limekukaa kweli