Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Hawaoneshi mechi yoyoteHivi k24 kama unatumia azam hawaoneshiii ??
KBC ndo wanaonesha ila hiyohiyo ya Ureno
.....
Hawaoneshi mechi yoyoteHivi k24 kama unatumia azam hawaoneshiii ??
Mndali za kwakoHabar zenu makapuku wenzangu niwatakie weekend njema
Safari njema kakaNjema dada Niko safari nikirudi tutaungana tena
Miss u Baba DMamy
NtakununuliaaaNa mimi nataka
Unakosaa uondoo ...mexico ana mbiliHawaoneshi mechi yoyote
KBC ndo wanaonesha ila hiyohiyo ya Ureno
.....
Uko poa kipendaa rohooMiss u Baba D
Word..Tushindane nao kufanya ujinga?...kwa faida ya nani ?
Wasichoelewa ni kwamba hii thread ina watu wazima na heshima zao ndiyo maana hakuna mambo ya ujinga ujinga wala fujo za ajabu
..........
Baba D niliona mama mchuchu katamani mauwa yako imebidi nimpe tu mama yangu na yeye
Nipo poa sana hubby hofu ni kwako tuUko poa kipendaa rohoo
Much love sakayoMuch respect Bitoz

DemiKapukuz how are you?
Word..
Wao mbona wanahaha na sisi...
Wao wafanye vile wanataka! Sisi huku ndio home tunaendelea kama kawaida yetu..

Baba D niliona mama mchuchu katamani mauwa yako imebidi nimpe tu mama yangu na yeye

Niko poa love japo uchovu kidogo si unajua safarNipo poa sana hubby hofu ni kwako tu
Tucheke kidogo