Anakuzungusha kwenye mbuyu Kisha anakurudishahahahhh kivip shemela
Mpendwa wa husna muba kwenye ubora wakeName calling ni kutukanana matusi na lugha nyingine za kukera! Na hasa pale mnapokuwa hamtaniani.
Mfano, mimi hupenda kuandika mhamiaji haramu, kama nitamtaja memba wa hapa kama mhamiaji haramu ilhali inajulikana kabisa hatuna utani wa namna yoyote basi hii ni tusi au lugha ya kukera.
Napenda utanilakini si wa kukwazana na kama hatutaniani basi siwezi kufanya utani wa kukera hata sikumoja. Ikitokea nitaomba radhi
Kwa nini shemelaShemela sitaki mimi
Fafanua vizuri husna muba mpendwa wa Obe![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
siyo chachandu hizo banaa
Nitafanyaje shemela ndio binamu yanguAnakuzungusha kwenye mbuyu Kisha anakurudisha
Si hapo unaponiambia nitie neno kwa binamuKwa nini shemela
Nawe pia mkuuWakuu...
Asante sana kwa watu walionipokea Huku makapuku..
I enjoy being with guys...
Nawatakia weekend njema na Eid Njema..
Usiku mwema wakuu.
Hongera zake sanaHongera kijana Rayvan kwa kuchukua tuzo BET, Big up WCBView attachment 530170
Mke wake wewe unasema mchepuko tenaSawa loloo! Ila unashibana nae sana! Ikibidi hata kuwa mchepuko wake kubali bibie!
Kumbeeeeeeeee!![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
, Mkue ktk upendo huohuo milele daima! Hata kifo kisiwatenganishe... hata peponi/ motoni muende pamoja!

Ndiyo unataka kulia shemelaSawa binamu naomba kesho uniwekee eloko oyo ya fally ipupa hata kudhamini nitadhamini binamu
Aisee, ungemsalimiaShemela shululu ulikuwa unamuulizia Nyagei yupo humu jf sema haiingii tu kapuku kuna sehemu nimekuta comment yake kuangalia last seen ni leo sa 2
Acha tu shemela sijui alifikilia nini TmullerMke wake wewe unasema mchepuko tena
Pale ninapoomba simu ya Baba D kucheza game![]()
![]()
woiiiii nitakufwa mie kabla ya siku zangu
![]()
