Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,870
J3 shemelaMimi nilijua ni kesho
J3 shemelaMimi nilijua ni kesho
Ila kuna kitu hakipo sawa...!Nakupenda T wa dada kuna mda una mauzi yako basi tu sijui unakuwa umepata cha arusha
Nakupenda unavyonikubali usimtese Dada yangu umpende sana
Thanks shemela be blessedNakupenda pia shemeji Yangu...
You are a good friend ! Alyways the best..
Zina tatizo ganiShemela kweli sivai arsenal sio ndio hivyo Baba D aanze kuniambia nivae me siwezi yaan nitamlilia
Kitu gani tena hampo sawa na dadaIla kuna kitu hakipo sawa...!
Basi tuu hapa ni kwenye public..!
Ndo utajuaaaMiaka miwili anarukaruka kichura kweli
Hayo nikwa D tu aisee
Shemela me man u damu mjue sivai jezi ya epl zaidi ya man u na hiyo ya chelsea ninaweza vaa sababu ya Baba D na sio lazima vile vile kuvaaZina tatizo gani
Yale yaleeeee...Nakupenda T wa dada kuna mda una mauzi yako basi tu sijui unakuwa umepata cha arusha
Nakupenda unavyonikubali usimtese Dada yangu umpende sana
Usirudiee

Muhimu malengo yetu yametimia
Si bora ukalishe mbuzi wako mkuu..
Kupigwa noah bado badooNdani ya Noah
Mkoba wanguPamoja sana wadau
......
Atarudi tena Huyu alikuwaga anapost zile "mfyuiuuuuuuu"
Ushamsahau nini? Nilijisikia tu kumjibu maana kila siku anakuja kuzingua huwa tu namuognore
....

Sijui ana tatizo gani hawezi ongea public
Labda tumpe mbuzi wa madenge mmoja ambebesheeLabda anataka mimba
Ndukii