Makapuku Forum

Makapuku Forum

NUKUU YA LEO

There have been some people and non-governmental organizations advocating for this idea, but it will not happen when i am in office, this is against our ethics.

Kumekuwepo na baadhi ya watu na mashikira yasiyo ya kiserikali kuunga mkono hoja hii, lakini hii haitatokea katika utawala wangu, hii ni kinyume na maadili yetu.

Haya maneno yalitamkwa na Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr. Johj Pombe Magufuli Tar. 22/06/2017. Rais Johj P Magufuli alizaliwa tar. 29 /10/1957 katika wilaya ya Chato, mkoa wa Kagera wakati huo nchi ikiitwa Tanganyika.

Rais Johj Magufuli anakuwa kiongozi wa juu kabisa kuja na kauli hii ambayo watanzania na ulimwengu kwa ujumla wameipokea kwa mtazamo hasi, kwa kuwa duni na ulimwenguwa sasa umekuwa ukipigania sana elimu na kundoa vikwazo hasa kwa wasichana na wanawake ambao ndio kundi kubwa linaloathirika kwa kukosa elimu.

Hii kauli itabaki kuwa kati ya kauli tata kutolewa na rais huyo, kwani wiki 2 zilizopita makamu wa rais alitangaza kuunga mkono na kuwakumbushia wazazi wote wenye watoto waliojifungua kwa mimba za utotoni kuwarudisha shuleni kwa kuwa hiyo ni sehemu ya ilani ya ccm ambayo yeye na magufuli wanaitekeleza.

Vyombo vingi vya habari vya kimataifa, mitandao ya kijamii imechukulia suala hili kama ukosefu wa busara, ukandamizaji na unyanyasaji wa kijinsia.

Wakati Rais akisema hayo alikuwa mbele ya Mke wa Rais wa zamani mama Salma Kikwete ambae pia ni mwenyekiti wa WAMA(Wanawake na maendeleo Foundation) NGO ambayo pia inapigania haki na usawa kwa wanawake na wasichana.

Wakuu ; Hii kauli ya rais ni ya kupigwa, sidhani kama kuna mtu atakuwa anaunga mkono juhudi ya ajabu namna hii, tutapoteza kizazi kwa mwendo huu.

Picha ikiwa inamuonesha mmoja ya wanafuzi wajawazito. View attachment 529879 Maisha baada ya kujifungua.View attachment 529881 mwanafunzi mwenye mimba akiwa shuleni.View attachment 529882 Rais JPMView attachment 529884Moja wapo ya mambango elimishi yaliyochapiswa mtandaoni na NGO ya WAMA.

Hapo chini niweka link ! Ni video ya dakika 2:30...



Hii nimeileta kwa hisan ya Sakayo , Shunie Tumosa Madame S, Clkey ukhuty Jimena BlessedHope, demi Jovitha na wanawake wengine woote.

Asante sana T wa Sakayo kwa nukuu,hili jambo ni kitendawili...nimewahi kushiriki miradi wa kurudisha mabinti mashuleni,kuwajengea uwezo wamama wadogo kujitegemea ,kuwashauri mabinti kutoshiriki ngono kabla ya wakati(wamalize masomo kwanza) katika ngazi ya kaya,jamii,kanisa nk

Hawa watoto wengi huwa hawapati ujauzito kwa kukusudia,au starehe au mpango maalumu...hutokea tu kama kufumba na kufumbua ..na nakuhakikishia viongozi wengi ni wahanga wa hii changamoto wao wenyewe au wanafamilia...si jambo jema lakini likitokea ni muhimu kuwasaidia hawa watoto sio kuwa tenga...na mara nyingi walifanya vizuri kimasomo na kimaisha ...sina uhakika sana nini kitatokea kuanzia sasa...tumuombe Mungu atupe ufunuo katika hili.Ila mimi msimamo wangu hili likitokea katika familia yangu ATASOMA TU KWA GHARAMA YOYOTE.NITAOKOTA HATA CHUPA,VYUMA CHAKAVU,VIBARUA,NIPATE KIPATO NIMPELEKE SHULE
 
Asante sana T wa Sakayo kwa nukuu,hili jambo ni kitendawili...nimewahi kushiriki miradi wa kurudisha mabinti mashuleni,kuwajengea uwezo wamama wadogo kujitegemea ,kuwashauri mabinti kutoshiriki ngono kabla ya wakati(wamalize masomo kwanza) katika ngazi ya kaya,jamii,kanisa nk

Hawa watoto wengi huwa hawapati ujauzito kwa kukusudia,au starehe au mpango maalumu...hutokea tu kama kufumba na kufumbua ..na nakuhakikishia viongozi wengi ni wahanga wa hii changamoto wao wenyewe au wanafamilia...si jambo jema lakini likitokea ni muhimu kuwasaidia hawa watoto sio kuwa tenga...na mara nyingi walifanya vizuri kimasomo na kimaisha ...sina uhakika sana nini kitatokea kuanzia sasa...tumuombe Mungu atupe ufunuo katika hili.Ila mimi msimamo wangu hili likitokea katika familia yangu ATASOMA TU KWA GHARAMA YOYOTE.NITAOKOTA HATA CHUPA,VYUMA CHAKAVU,VIBARUA,NIPATE KIPATO NIMPELEKE SHULE
As your name...

Be blessed kwa mchango wako wote..
 
Hang Son Doong, Vietnam

25e746bd65721a8020dc947325a9aa06.jpg
I see
 
NUKUU YA LEO

There have been some people and non-governmental organizations advocating for this idea, but it will not happen when i am in office, this is against our ethics.

Kumekuwepo na baadhi ya watu na mashikira yasiyo ya kiserikali kuunga mkono hoja hii, lakini hii haitatokea katika utawala wangu, hii ni kinyume na maadili yetu.

Haya maneno yalitamkwa na Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr. Johj Pombe Magufuli Tar. 22/06/2017. Rais Johj P Magufuli alizaliwa tar. 29 /10/1957 katika wilaya ya Chato, mkoa wa Kagera wakati huo nchi ikiitwa Tanganyika.

Rais Johj Magufuli anakuwa kiongozi wa juu kabisa kuja na kauli hii ambayo watanzania na ulimwengu kwa ujumla wameipokea kwa mtazamo hasi, kwa kuwa duni na ulimwenguwa sasa umekuwa ukipigania sana elimu na kundoa vikwazo hasa kwa wasichana na wanawake ambao ndio kundi kubwa linaloathirika kwa kukosa elimu.

Hii kauli itabaki kuwa kati ya kauli tata kutolewa na rais huyo, kwani wiki 2 zilizopita makamu wa rais alitangaza kuunga mkono na kuwakumbushia wazazi wote wenye watoto waliojifungua kwa mimba za utotoni kuwarudisha shuleni kwa kuwa hiyo ni sehemu ya ilani ya ccm ambayo yeye na magufuli wanaitekeleza.

Vyombo vingi vya habari vya kimataifa, mitandao ya kijamii imechukulia suala hili kama ukosefu wa busara, ukandamizaji na unyanyasaji wa kijinsia.

Wakati Rais akisema hayo alikuwa mbele ya Mke wa Rais wa zamani mama Salma Kikwete ambae pia ni mwenyekiti wa WAMA(Wanawake na maendeleo Foundation) NGO ambayo pia inapigania haki na usawa kwa wanawake na wasichana.

Wakuu ; Hii kauli ya rais ni ya kupigwa, sidhani kama kuna mtu atakuwa anaunga mkono juhudi ya ajabu namna hii, tutapoteza kizazi kwa mwendo huu.

Picha ikiwa inamuonesha mmoja ya wanafuzi wajawazito. View attachment 529879 Maisha baada ya kujifungua.View attachment 529881 mwanafunzi mwenye mimba akiwa shuleni.View attachment 529882 Rais JPMView attachment 529884Moja wapo ya mambango elimishi yaliyochapiswa mtandaoni na NGO ya WAMA.

Hapo chini niweka link ! Ni video ya dakika 2:30...



Hii nimeileta kwa hisan ya Sakayo , Shunie Tumosa Madame S, Clkey ukhuty Jimena BlessedHope, demi Jovitha na wanawake wengine woote.

shemela,wanafunzi wa kike ni wahanga wakubwa ktk suala la mimba za utotoni,Mungu awape busara viongozi wetu ktk kupambana na tatizo hili,sio la kulichukulia kimzaha kwa kweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom