Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Tushindane nao kufanya ujinga?...kwa faida ya nani ?
Wasichoelewa ni kwamba hii thread ina watu wazima na heshima zao ndiyo maana hakuna mambo ya ujinga ujinga wala fujo za ajabu
..........

Tushindane nao kufanya ujinga?...kwa faida ya nani ?
Wasichoelewa ni kwamba hii thread ina watu wazima na heshima zao ndiyo maana hakuna mambo ya ujinga ujinga wala fujo za ajabu
..........

Asante sana T wa Sakayo kwa nukuu,hili jambo ni kitendawili...nimewahi kushiriki miradi wa kurudisha mabinti mashuleni,kuwajengea uwezo wamama wadogo kujitegemea ,kuwashauri mabinti kutoshiriki ngono kabla ya wakati(wamalize masomo kwanza) katika ngazi ya kaya,jamii,kanisa nk
Hawa watoto wengi huwa hawapati ujauzito kwa kukusudia,au starehe au mpango maalumu...hutokea tu kama kufumba na kufumbua ..na nakuhakikishia viongozi wengi ni wahanga wa hii changamoto wao wenyewe au wanafamilia...si jambo jema lakini likitokea ni muhimu kuwasaidia hawa watoto sio kuwa tenga...na mara nyingi walifanya vizuri kimasomo na kimaisha ...sina uhakika sana nini kitatokea kuanzia sasa...tumuombe Mungu atupe ufunuo katika hili.Ila mimi msimamo wangu hili likitokea katika familia yangu ATASOMA TU KWA GHARAMA YOYOTE.NITAOKOTA HATA CHUPA,VYUMA CHAKAVU,VIBARUA,NIPATE KIPATO NIMPELEKE SHULE
barikiwa kwa mamneno kuntu mamaaNakupitishia Hijabu baadaye..!Mbona umekua mdogo?
Yaani inatakiwa ifanyike movement moja matata..![]()
![]()
shemela,wanafunzi wa kike ni wahanga wakubwa ktk suala la mimba za utotoni,Mungu awape busara viongozi wetu ktk kupambana na tatizo hili,sio la kulichukulia kimzaha kwa kweli
Alikosea aseeNi kweli,ni Mungu tu anawezesha, sasa sifahamu kwanini alitangaza live na bendera zote na ya Tanzania ,hapo sijaelewa all in all sijui lolote kuhusu utaratibu wa jambo hili,niliona tu anaelezea EID Jumatatu.
Kwangu pia ni safi kabisa.... Nawamiss tuZa weekend poa dia sijui kwako mamy
Sad2002 - Treni ya Abiria inagongana na Treni ya Mizigo eneo la Igandu na Msagali Mjini Dodoma na kuua watu 281.
Ndio ajali ya treni iliyoua watu wengi zaidi katika historia ya bara la Afrika.
Rais Mkapa akatangaza siku kadhaa za Maombolezo na maiti ziliwekwa uwanja wa Jamhuri ili watu watambue ndugu zao.
ZABURI 37
BABA Mwema tunakuja mbele yako mchana huu tukikushukuru kwa yote unayotenda,asante kwasababu unatupenda tunaomba endelea kutuimarisha tuendelee kukutumainia wewe tu maana utafanya kitu,utatuponya,utatupa riziki,utatupa upendo,utatupa ajira na mahitaji yetu sawa na mapenzi yako.asante kwa sababu ya mahali hapa MAKAPUKU pamekua sehemu yetu njema na tunajifunza na kushirikiana kwa upendo endelea kutusimamia mfalme wa amani maana utatupa kushinda.

Asante sana kwa historia mwenyekitiLeo Katika Historia:
Sina la ziada, sabato njema.
Hebu weka picha tuoneNtawaringiaaa kinomaaaa
Pazuri sanaaaSantorini island, Greece
![]()
Yaani inaumiza ,hayo tunaambiwa walala hoi watoto wao yakiwakuta wanawapeleka ulaya,india,malasia,kenya,uganda ...nk wanasoma vizuri....wengine mimba wanapewa na haohao wakubwa na hata hawashitakiwi...nikisema hv nimeona na kusikia mengi..Mungu atusaidie tu kuwasimamia watoto na vizazi vyetu ndio zawadi pekee Mungu aliyotupa hatuna utajiri mngine,tuwaleee katika maadili ikitokea tuwasaidie tu wasonge mbele![]()
![]()
barikiwa kwa mamneno kuntu mamaa

Acha tu...anafanya watu tunatenda dhambi za mawazo kila mudaYaani inatakiwa ifanyike movement moja matata..
Mzee wa chattle anazingua
Njema kaka za uzima ubarikiweHabar zenu makapuku wenzangu niwatakie weekend njema
Njema dada habari ya siku ubarikiwe naweNjema kaka za uzima ubarikiwe