Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
8/Vikas Uppal![]()
Alizaliwa huko Haryana India na kuishi maisha mfupi maana alifariki mwaka 2007 akiwa na miaka 21 tu![]()
Hakuwahi kupigwa urefu wake na watu wa kitabu cha Guinness ila vyanzo mbalimbali nchini vilikuwa na rekodi zake
Alifariki dunia huku akiwa bado anarefuka hivyo asingefariki mapema pengine angeweka rekodi ya kipekee
Alikuwa na urefu wa Futi 8 na inchi 3
......
R I P
