Makapuku Forum

Makapuku Forum

8/Vikas Uppal
317eca9981b50f4a74c973e1db46f6bd.jpg
ea0444ecded3560508b09b63fd39c7d7.jpg
4cda0bdb4c909e1dcc4f3ae55d758c11.jpg
Alizaliwa huko Haryana India na kuishi maisha mfupi maana alifariki mwaka 2007 akiwa na miaka 21 tu
Hakuwahi kupigwa urefu wake na watu wa kitabu cha Guinness ila vyanzo mbalimbali nchini vilikuwa na rekodi zake
Alifariki dunia huku akiwa bado anarefuka hivyo asingefariki mapema pengine angeweka rekodi ya kipekee
Alikuwa na urefu wa Futi 8 na inchi 3
......
 
10/Brahim Takioullah
94f1d90c7d522c1858077630b37e7f05.jpg
e88cadd7a39add910412856812315511.jpg
525f135422ea1a41b6e82f3438b8920f.jpg

Ni raia wa Morocco aliyezaliwa mwaka 1982
Huyu jamaa anashikilia rekodi ya dunia kwenye Guinness Book of World Records ya mtu mwenye miguu mirefu zaidi duniani anayeishi.....pia ndiye mtu wa pili wa muda wote mwenye miguu mikubwa zaidi kuwahi kutokea duniani(nazungumzia makanyagio) miguu yake ina urefu wa inchi 15 yaani kiatu kinatakiwa kiwe hivyo
Huyu jamaa sababu ya urefu wake ni uvimbe(tumor) ambao umeathiri tezi(gland) na kumfanya awe ngongoti
Ana urefu wa Futi 8 na inchi 1
...........
More pictures for Brahim..

d12e5d455e9a56cc80b936ad6dc5b745.jpg
c6368fdd3fa239c86093ca89f72ef193.jpg
1c3c4b314c809cd2661e439cb896fdba.jpg
 
7/Bernard Coyne
da30f90aa085ed50418da7898e6019c9.jpg
d6ebe4f206f0c96a598064ddc6116510.jpg
bbec2e8adb9e9327723a036fc274b407.jpg
Alizaliwa huko Marekani mwaka 1897
Alikuwa akiumwa ugonjwa uitwao Daddy longlegs syndrome...urefu wake wakati anafariki haukufahamika
Hivyo rekodi zake zimechukuliwa kutoka kwenye World War I Registration Card
Alifariki wakati akiwa kwenye umri wa mwanzpni wa miaka 20's
Alikuwa na urefuwaFuti 8 na inchi 2 japo inaaminika huenda Alikuwa na futi 8 na inchi 4 ila tatizo ni evidence tu
.....
 
6/Sultan Kosen
79bba2ec0e64e635b1a1ea0ffb03b85e.jpg
5219d3a04b596d7546b7b1c9e67b5e70.jpg
Akiwa na mtu mfupi zaidi duniani
0719e3fdcc5c958fa64e84ac0f86f7e4.jpg

Huyu ni raia wa Uturuki aliyezaliwa mwaka 1982
Ana uvimbe(tumor) ambao unamsababishia arefuke kuliko kawaida
Ndiye mtu mrefu zaidi aliye hao ...Alikuwa na urefu wa kawaida hadi alipofikisha miaka 10
Mwaka 2006 madaktari walijaribu kuuondoa uvimbe ili asiendelee kurefuka lakini ikashindikana
Mwaka 2012 madaktari wa Virginia waligundua uvimbe kichwani umezidi kukua lakini kutokana urefu wake wakashindwa kumfanyia upasuaji na hivyo kupelekwa Sweden ambalo ilitumika teknolojia ya hali ya juu na kufanikiwa na hivyo kuwa nwisho Wa kurefuka kwake
Ana urefu wa futi 8 na inchi 3
.....
 
6/Sultan Kosen
79bba2ec0e64e635b1a1ea0ffb03b85e.jpg
5219d3a04b596d7546b7b1c9e67b5e70.jpg
Akiwa na mtu mfupi zaidi duniani
0719e3fdcc5c958fa64e84ac0f86f7e4.jpg

Huyu ni raia wa Uturuki aliyezaliwa mwaka 1982
Ana uvimbe(tumor) ambao unamsababishia arefuke kuliko kawaida
Ndiye mtu mrefu zaidi aliye hao ...Alikuwa na urefu wa kawaida hadi alipofikisha miaka 10
Mwaka 2006 madaktari walijaribu kuuondoa uvimbe ili asiendelee kurefuka lakini ikashindikana
Mwaka 2012 madaktari wa Virginia waligundua uvimbe kichwani umezidi kukua lakini kutokana urefu wake wakashindwa kumfanyia upasuaji na hivyo kupelekwa Sweden ambalo ilitumika teknolojia ya hali ya juu na kufanikiwa na hivyo kuwa nwisho Wa kurefuka kwake
Ana urefu wa futi 6 na inchi 3
.....
Daah!hatareee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom