Makapuku Forum

Makapuku Forum

12. Gabriel & Diego Milito
Hawa ni ndugu wawili wa Kiargentina ambao nao walitikisa soka kwa kiasi flani. Wakati Gabriel Milito akitesa na vilabu vya Barcelona na Zaragoza kaka yake Diego Milito alitamba na Inter Milan ya Mourinho.

Gabriel_Milito.jpg

160895_heroa.jpg


diego_milito_wallpaper_by_borowagfx.jpg
Hivi Diego yuko wapi siku hizi?

Manake nakumbuka kichapo Barca walichopata Fainali ambayo mourinho alichukua...
 
14. Frank & Ronald De Boer
Wadachi na mapacha hawa walitamba na Ajax na kuchukua Uefa Champions League mwaka 1995 chini ya kocha Louis van Gaal. Pia walitamba kwenye Timu ya Taifa ya Uholanzi whasa Kombe la Dunia la mwka 1998.

Frank%2B%26%2BRonald%2BDE%2BBOER%2B-%2BPanini%2BWorld%2BCup%2B1998.png
09-Frank+&+Ronald+DE+BOER.jpg
season-19981999-barcelona-ronald-left-and-frank-de-boer-after-signing-BJCXTR.jpg
Walikuwa vizuri sana wawapo uwanjani, Ronald katumia muda mwingi wa soka lake akiwa Scotland
 
13. The Neville Brothers ( Gary & Phil Neville )
Gary na mdogo wake Phil ni zao la akademi ya soka ya Man Utd na walitikisa sana katika miaka ya 2000. gary Neville alikuja kuwa nahodha wa Man Utd wakati mdogo wake akiwa nahodha wa Everton,
neville-brothers.jpg
00369D3700000258-0-Phil_left_and_Gary_right_-a-27_1449073118211.jpg
nintchdbpict000003773344-e1480760738264.jpg
Phili mpira wake ilikuwa ni fujo sana aisee, alimkimbiza Reyes Uingereza
 
6. Rafinha & Thiago Alcantara

Viungo hawa wawili mmoja akichezea Barcelona na mwingine akitamba na Bayern Munich. Ni zao la soka la akademi ya Barcelona maarufu kama La Masia.

Baba yao ni Mbrazil anaitwa Mazinho alishinda kombe la Dunia mwaka 1994.
173539.jpg
882c5e6dfe0aa18668f87bab70b713b8.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom