shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Asante mkuu ChaplinKwa sina la ziada tukutane kwenye ratiba za michezo
Asante mkuu ChaplinKwa sina la ziada tukutane kwenye ratiba za michezo
Hivi Diego yuko wapi siku hizi?12. Gabriel & Diego Milito
Hawa ni ndugu wawili wa Kiargentina ambao nao walitikisa soka kwa kiasi flani. Wakati Gabriel Milito akitesa na vilabu vya Barcelona na Zaragoza kaka yake Diego Milito alitamba na Inter Milan ya Mourinho.
![]()
![]()
![]()
Soka Segment ( SS )
Leo tuangazie wanasoka ndugu ambao wamecheza soka kwa level ya juu hapa duniani, wanaweza wakawa wamecheza timu moja au timu tofauti lakini mchango wao kwenye vilabu ama timu zao za Taifa ni mkubwa.
Karibuni...

Kwa udhamini wa SHIMBA YA BUYENZE na Husna Muba sina la ziada tukutane baadae kwenye matokeo ya mechi.

Pamoja Kaka ShululuAisee, thanks mkuu
Mimi siamini etiMi niko kwenye swaumu mkuu
Prince is the best to my opinion..9. Jerome & Kevin Prince Boateng
Ndugu hawa wawili wamezaliwa kwa baba Mghana na Mama Mjerumani, hivyo mmoja wapo amefata uraia wa Baba mwingine akifata uraia wa mama.
![]()
![]()
Walikuwa vizuri sana wawapo uwanjani, Ronald katumia muda mwingi wa soka lake akiwa Scotland14. Frank & Ronald De Boer
Wadachi na mapacha hawa walitamba na Ajax na kuchukua Uefa Champions League mwaka 1995 chini ya kocha Louis van Gaal. Pia walitamba kwenye Timu ya Taifa ya Uholanzi whasa Kombe la Dunia la mwka 1998.
![]()
![]()
![]()
Phili mpira wake ilikuwa ni fujo sana aisee, alimkimbiza Reyes Uingereza13. The Neville Brothers ( Gary & Phil Neville )
Gary na mdogo wake Phil ni zao la akademi ya soka ya Man Utd na walitikisa sana katika miaka ya 2000. gary Neville alikuja kuwa nahodha wa Man Utd wakati mdogo wake akiwa nahodha wa Everton,
![]()
![]()
![]()
11. Yaya Toure na Kolo Toure
Ndugu hawa wawili kutoka Ivory Coast wamecheza soka la kiwango cha juu, wakati Kolo alitamba na Arsenal na Man City, Yaya alitamba na Barcelona na Man City
![]()

Na kuwa mchezaji bora wa fifa10. Paolo & Fabio Cannavaro
Hawa ni ndugu wawili ambao wote walicheza beki ya kati enzi wanacheza. Paolo alitamba akiwa Napoli kaka yake alitamba akiwa na Napoli, Real Madrid, Juventus na timu ya taifa ya Italy ambao alitwaa Kombe la dunia la mwaka 2006 akiwa Nahodha.
![]()
![]()
![]()
Ni mchambuzi wa soka kupitia mitandao ya kijamiiHivi Diego yuko wapi siku hizi?
Manake nakumbuka kichapo Barca walichopata Fainali ambayo mourinho alichukua...
Na kuwa mchezaji bora wa fifa
Garry Neville beki mbili13. The Neville Brothers ( Gary & Phil Neville )
Gary na mdogo wake Phil ni zao la akademi ya soka ya Man Utd na walitikisa sana katika miaka ya 2000. gary Neville alikuja kuwa nahodha wa Man Utd wakati mdogo wake akiwa nahodha wa Everton,
![]()
![]()
![]()
Shukrani pia kwa kutushushia nukuuAsante mpiga picha wetu
"Babu" Diego Milito alikuwa hatari chini ya Mourinho akitokea benchi12. Gabriel & Diego Milito
Hawa ni ndugu wawili wa Kiargentina ambao nao walitikisa soka kwa kiasi flani. Wakati Gabriel Milito akitesa na vilabu vya Barcelona na Zaragoza kaka yake Diego Milito alitamba na Inter Milan ya Mourinho.
![]()
![]()
![]()