Makapuku Forum

Makapuku Forum

3/John F Carroll
1a9858974fe096ad13348f4e76fc399f.jpg
eb6b12d0765ac1e51c36bbe23ece6f94.jpg
d33060d128a5c66088afa5262bec0648.jpg
Alizaliwa jijini New York nchini Marekani mwaka 1932
Alianza kurefuka ghafla wakati akiwa na umri wa miaka 16 hadi pale maiti yalipomfika 1969 kutokana na tatizo kwenye uti wa mgongo
Alikuwa na urefu wa futi 8 na inchi 7.5
.....
 
10/Brahim Takioullah
94f1d90c7d522c1858077630b37e7f05.jpg
e88cadd7a39add910412856812315511.jpg
525f135422ea1a41b6e82f3438b8920f.jpg

Ni raia wa Morocco aliyezaliwa mwaka 1982
Huyu jamaa anashikilia rekodi ya dunia kwenye Guinness Book of World Records ya mtu mwenye miguu mirefu zaidi duniani anayeishi.....pia ndiye mtu wa pili wa muda wote mwenye miguu mikubwa zaidi kuwahi kutokea duniani(nazungumzia makanyagio) miguu yake ina urefu wa inchi 15 yaani kiatu kinatakiwa kiwe hivyo
Huyu jamaa sababu ya urefu wake ni uvimbe(tumor) ambao umeathiri tezi(gland) na kumfanya awe ngongoti
Ana urefu wa Futi 8 na inchi 1
...........
Duuuu
 
2/John William Rogan
5bf4fcd5cd9df866c076230f017ffe05.jpg
d1e22405ca9530c3748e0595c667490c.jpg
d4a50249ac2f6e678e2f19d7a8e08411.jpg
Alizaliwa mwaka 1868 huko Tennessee nchini Marekani na kufariki 1905
Ndiye mtu mrefu zaidi duniani "aliyerekodiwa" yaani vielelezo vyako vimejaa tele
Kutokana na urefu wake aliandamwa na maradhi kibao na husababisha kifo chake
Alianza kurefuka akiwa na miaka 13
Alikuwa na urefu wa futi 8 na inchi 9
.....
 
1/Robert Wadlow
7aeedb0f3249c3cbd42a0386aa45a23a.jpg
c8b30100fd466cf1a65e2aa7d16dd942.jpg
706946744a623f9e74c367e519483482.jpg
Huyu ndo ngongoti wa muda wote duniani
Alizaliwa 1918 huko Illnois na kufariki dunia mwaka 1940
Urefu wake ulitokana na pituitary gland na hivyo kuzalisha kiasi kikubwa cha homoni na kurefuka maisha yaje yote
Alifariki dunia hospitalini Michigan wakati akifanyiwa upasuaji ambapo urefu wake ulichangia kufeli kwa blood transfusions
Alikuwa na urefu wa futi 8 na inchi 11
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Niwatakie Usiku mwema
Tukutane kesho
Mwisho
.........
 
1/Robert Wadlow
7aeedb0f3249c3cbd42a0386aa45a23a.jpg
c8b30100fd466cf1a65e2aa7d16dd942.jpg
706946744a623f9e74c367e519483482.jpg
Huyu ndo ngongoti wa muda wote duniani
Alizaliwa 1918 huko Illnois na kufariki dunia mwaka 1940
Urefu wake ulitokana na pituitary gland na hivyo kuzalisha kiasi kikubwa cha homoni na kurefuka maisha yaje yote
Alifariki dunia hospitalini Michigan wakati akifanyiwa upasuaji ambapo urefu wake ulichangia kufeli kwa blood transfusions
Alikuwa na urefu wa futi 8 na inchi 11
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Niwatakie Usiku mwema
Tukutane kesho
Mwisho
.........
Pamoja mkuu, usiku mwema!

Jamaa anavimba kichwa kila kukicha, anajibishana na watu kisa ana wafuasi wengi wanaofatilia stori zake JF hivyo wanakuwa wanamtetea.
 
1/Robert Wadlow
7aeedb0f3249c3cbd42a0386aa45a23a.jpg
c8b30100fd466cf1a65e2aa7d16dd942.jpg
706946744a623f9e74c367e519483482.jpg
Huyu ndo ngongoti wa muda wote duniani
Alizaliwa 1918 huko Illnois na kufariki dunia mwaka 1940
Urefu wake ulitokana na pituitary gland na hivyo kuzalisha kiasi kikubwa cha homoni na kurefuka maisha yaje yote
Alifariki dunia hospitalini Michigan wakati akifanyiwa upasuaji ambapo urefu wake ulichangia kufeli kwa blood transfusions
Alikuwa na urefu wa futi 8 na inchi 11
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Niwatakie Usiku mwema
Tukutane kesho
Mwisho
.........
Nawe pia bitoz
 
1/Robert Wadlow
7aeedb0f3249c3cbd42a0386aa45a23a.jpg
c8b30100fd466cf1a65e2aa7d16dd942.jpg
706946744a623f9e74c367e519483482.jpg
Huyu ndo ngongoti wa muda wote duniani
Alizaliwa 1918 huko Illnois na kufariki dunia mwaka 1940
Urefu wake ulitokana na pituitary gland na hivyo kuzalisha kiasi kikubwa cha homoni na kurefuka maisha yaje yote
Alifariki dunia hospitalini Michigan wakati akifanyiwa upasuaji ambapo urefu wake ulichangia kufeli kwa blood transfusions
Alikuwa na urefu wa futi 8 na inchi 11
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Niwatakie Usiku mwema
Tukutane kesho
Mwisho
.........
Shukrani mkuu
 
6/Sultan Kosen
79bba2ec0e64e635b1a1ea0ffb03b85e.jpg
5219d3a04b596d7546b7b1c9e67b5e70.jpg
Akiwa na mtu mfupi zaidi duniani
0719e3fdcc5c958fa64e84ac0f86f7e4.jpg

Huyu ni raia wa Uturuki aliyezaliwa mwaka 1982
Ana uvimbe(tumor) ambao unamsababishia arefuke kuliko kawaida
Ndiye mtu mrefu zaidi aliye hao ...Alikuwa na urefu wa kawaida hadi alipofikisha miaka 10
Mwaka 2006 madaktari walijaribu kuuondoa uvimbe ili asiendelee kurefuka lakini ikashindikana
Mwaka 2012 madaktari wa Virginia waligundua uvimbe kichwani umezidi kukua lakini kutokana urefu wake wakashindwa kumfanyia upasuaji na hivyo kupelekwa Sweden ambalo ilitumika teknolojia ya hali ya juu na kufanikiwa na hivyo kuwa nwisho Wa kurefuka kwake
Ana urefu wa futi 6 na inchi 3
.....
Teknolojia iko juu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom