Makapuku Forum

Makapuku Forum

10. Paolo & Fabio Cannavaro
Hawa ni ndugu wawili ambao wote walicheza beki ya kati enzi wanacheza. Paolo alitamba akiwa Napoli kaka yake alitamba akiwa na Napoli, Real Madrid, Juventus na timu ya taifa ya Italy ambao alitwaa Kombe la dunia la mwaka 2006 akiwa Nahodha.

41d471c9d59c45a9abaff9fca582dba9-56041-1444152980.jpeg
SSC+Napoli+v+Liverpool+UEFA+Europa+League+2cjcwaOoYnAl.jpg
Fabio_Cannavaro.jpg
Siyo tu kutwaa kombe la dunia bali pia alichukua Ballon D'or kwa ngekewa na kuwa beki wa kwanza kuwa mwanasoka bora wa dunia
.......
 
4. Anton & Rio Ferdinand

Ndugu wawili hawa wamekipiga katika ligi kuu ya Uingereza na wote wakiwa ni zao la akademi ya klabu ya West Ham, moja ya akademi bora kando ya Southampton.
Rio ndio amapata mafanikio zaidi kuliko mdogo wake ambae ni tozi flani hivi.

173532.jpg
anton-ferdinand-and-rio-ferdinand-attend-a-vip-party-hosted-by-and-picture-id146448767
 
8. Rafael & Fabio da Silva
Mabeki hawa wa Kibrazil ambao waliwahi kukipiga Man Utd ni mapacha haswa wa kufanana kiasi cha kuwachanganya watu wengi wawapo uwanjani.

fab_1905251c.jpg
dasilvas5.jpeg
Kuna siku kilitokea kituko sijui Fabio alicheza rafu sasa refs akashindwa kuwatofautisha na kibaya zaidi jezi zinaanza na # 2 akampa kadi Rafael

.......
 
3. Eden & Thorgan Hazard

Wabelgiji hawa kwa pamoja hucheza nafasi ya winga au kiungo mshambuliaji, baada ya maisha kuwa magumu ndani ya stamford bridge, Thorgan Hazard alihamia zake Borussia Monchengladbach akimuacha kaka yake akiendelea kutamba Chelsea.
Thorgan-Hazard-and-Eden-2-600x509.jpg
57e0fd8388fedd5fa7000001.jpg
115182685-eden-hazard-sport-large_trans_NvBQzQNjv4BqA7a2BP2KFPtZUOepzpZgXISdNn8DgVUcalGVREaviFE.jpg
 
8. Rafael & Fabio da Silva
Mabeki hawa wa Kibrazil ambao waliwahi kukipiga Man Utd ni mapacha haswa wa kufanana kiasi cha kuwachanganya watu wengi wawapo uwanjani.

fab_1905251c.jpg
dasilvas5.jpeg
Daah!


Hawa madogo nilikuwa nawakubali sana...

Hasa Fabio kipindi anakipiga Right-back...

Ni mzuri wa kupanda kushambulia na kupiga Cross kama Dani Alves, Gareth Bale, antonio Valecia Maicon na Marcelo

Nahisi kuna ka-utamaduni flani kwa mabeki wa kibrazil kupanda na kupiga cross.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom