Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Hawa jamaa mambo yao ni special order tuu10/Brahim Takioullah![]()
![]()
![]()
Ni raia wa Morocco aliyezaliwa mwaka 1982
Huyu jamaa anashikilia rekodi ya dunia kwenye Guinness Book of World Records ya mtu mwenye miguu mirefu zaidi duniani anayeishi.....pia ndiye mtu wa pili wa muda wote mwenye miguu mikubwa zaidi kuwahi kutokea duniani(nazungumzia makanyagio) miguu yake ina urefu wa inchi 15 yaani kiatu kinatakiwa kiwe hivyo
Huyu jamaa sababu ya urefu wake ni uvimbe(tumor) ambao umeathiri tezi(gland) na kumfanya awe ngongoti
Ana urefu wa Futi 8 na inchi 1
...........


acha tu huu umeme utasababisha tuachike nimekutana na text zake Baba D![]()


nimeshamjibu nilipokuwa kwenye textSema ulikuwa wapi kwanza.m
Nishafika njoo nifungulieMie pekee angu naogopa
T ndio naingia mmu sijafika mie nimefika nimeanza kujibu pm za Baba DMmu mnatumia solar panel eeh?![]()
sema najiaminiNithemeee![]()
Ena kalumbuNdaga
Sawa dadakaka sio kwangu mimi
Mwambie akuwekee umeme wa solaracha tu huu umeme utasababisha tuachike nimekutana na text zake Baba D![]()
Ila wewe mtoto unajua kujiteteaT ndio naingia mmu sijafika mie nimefika nimeanza kujibu pm za Baba D


sio najua kujitetea nenda mmu kaniletee post yangu ujue unaongea hivyo hujui upande wangu itakuajeIla wewe mtoto unajua kujitetea![]()
sawa kakaMwambie akuwekee umeme wa solar
Hahaaa!sio najua kujitetea nenda mmu kaniletee post yangu ujue unaongea hivyo hujui upande wangu itakuaje

