Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kwanzaa pesa ni mwana haramu.. Unaweza vipi kubadilishana mwanao na hela!!!!

Nimeangalia hiyo video imenifanya nitamani kuzaa.. Hivi kuna wababa wanaopenda watoto hivyo kwenye Tanzania yetu jamani....

Wazazi jaribuni kuwa karibu na watoto wenu kuna vipaji vipo ndani yao Mungu kawajalia...
Nahisi maisha ndio sababu ya hii yotee..

Huyo dada kama alikuwa analipwa Dollar Elfu 10 kwa mwaka ni sawa na million 22 za Tanzania..

Sasa imekuja balaa amezalishwa na anatakiwa alipwe 25 billion apige kimya ! Sasa anaachaje hela..

Kama akiishi na mtoto hawezi kumlea kwanini ang'ang'anie sasa..?

Thats where someone goes for the favourable knife cut..
 
Nahisi maisha ndio sababu ya hii yotee..

Huyo dada kama alikuwa analipwa Dollar Elfu 10 kwa mwaka ni sawa na million 22 za Tanzania..

Sasa imekuja balaa amezalishwa na anatakiwa alipwe 25 billion apige kimya ! Sasa anaachaje hela..

Kama akiishi na mtoto hawezi kumlea kwanini ang'ang'anie sasa..?

Thats where someone goes for the favourable knife cut..
Mmmmh
Ngumu kumeza but that's life
 
4. Anton & Rio Ferdinand

Ndugu wawili hawa wamekipiga katika ligi kuu ya Uingereza na wote wakiwa ni zao la akademi ya klabu ya West Ham, moja ya akademi bora kando ya Southampton.
Rio ndio amapata mafanikio zaidi kuliko mdogo wake ambae ni tozi flani hivi.

173532.jpg
anton-ferdinand-and-rio-ferdinand-attend-a-vip-party-hosted-by-and-picture-id146448767
Wana asili ya Uganda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom