Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Tulia basi sakayo T ! Unataka kulia hapa mbele ya watu jamaani...Asante babaa... Nimeiona imenifanya niwaze zaidi...
Be strong


Tulia basi sakayo T ! Unataka kulia hapa mbele ya watu jamaani...Asante babaa... Nimeiona imenifanya niwaze zaidi...


Tuko pamojaMimi siku zote nilifikiri Pogba wote wamechagua uraia wa Ufaransa
.
.
.
.
Ahsante kwa segment iliyotulia
.......
Nahisi maisha ndio sababu ya hii yotee..Kwanzaa pesa ni mwana haramu.. Unaweza vipi kubadilishana mwanao na hela!!!!
Nimeangalia hiyo video imenifanya nitamani kuzaa.. Hivi kuna wababa wanaopenda watoto hivyo kwenye Tanzania yetu jamani....
Wazazi jaribuni kuwa karibu na watoto wenu kuna vipaji vipo ndani yao Mungu kawajalia...


Pamoja mkuuAsante mkuu ...tuko pamoja japo nimechelewaa
Usijali T wanguTulia basi sakayo T ! Unataka kulia hapa mbele ya watu jamaani...
Be strong![]()
MmmmhNahisi maisha ndio sababu ya hii yotee..
Huyo dada kama alikuwa analipwa Dollar Elfu 10 kwa mwaka ni sawa na million 22 za Tanzania..
Sasa imekuja balaa amezalishwa na anatakiwa alipwe 25 billion apige kimya ! Sasa anaachaje hela..
Kama akiishi na mtoto hawezi kumlea kwanini ang'ang'anie sasa..?
Thats where someone goes for the favourable knife cut..![]()
Wana asili ya Uganda4. Anton & Rio Ferdinand
Ndugu wawili hawa wamekipiga katika ligi kuu ya Uingereza na wote wakiwa ni zao la akademi ya klabu ya West Ham, moja ya akademi bora kando ya Southampton.
Rio ndio amapata mafanikio zaidi kuliko mdogo wake ambae ni tozi flani hivi.
![]()
![]()
Emma Peter** Kibongobongo **
Kuna;
Kitwana na Sunday Manara
Said Sued na Salum Sued
Haruna Moshi, Iddi Moshi na Ally Moshi
Said Dilunga, Abbas Dilunga
Jamhuri Kihwelu, Mwanamtwa Kihwelu, Muhesa Kihwelu na Said Kihwelu
Asante dikteta, umenikumbusha sana ufungaji wa Ameobi, ulikuwa wa kizari zari hiviSoka Segment ( Double S )
Jack Charlton na Bobby Charlton ndio ndugu pekee kutwaa ubingwa wa Kombe la Dunia mwaka 1966.
![]()
![]()
Haina la ziada jioni njema.
Nzuri shemeji, habari za mihangaikoHabari za humu wakuu
Njema shemeji habari za ujenzi wa taifaNzuri shemeji, habari za mihangaiko
Nzuri kabisa shemejiNjema shemeji habari za ujenzi wa taifa
Hakuna tatizo kabisaEeeh kwni vipi?
Pamoja shemejiNzuri kabisa shemeji
Dada ulimkafu?Hakuna tatizo kabisa
Ndimkafu kalumbu utwa mbomboDada ulimkafu?
NdagafijoNdimkafu kalumbu utwa mbombo

Wapo wengi nao akina PeterEmma Peter
Gebo Peter
Peter Tinno
Hahaha, pamoja na kufunga magoli ya bahati bahati, alidumu sana Newcastle.Asante dikteta, umenikumbusha sana ufungaji wa Ameobi, ulikuwa wa kizari zari hivi