Makapuku Forum

Makapuku Forum

WARUMI 8

37.Lakini katika mambo hayo yote tunashinda ;na zaidi ya kushinda,kwa yeye aliyetupenda.

38.Kwa maana nimekwisha kujua hakika kwamba ,wala mauti,wala uzima,wala malaika,wala yaliyopo ,wala yatakayokuwapo ,wala wenye uwezo,

39.Wala yaliyo juu wala yaliyochini ,wala kiumbe kingine chote hakitaweza kututenga na upendo wa Mungu ulio katika Kristo Yesu Bwana wetu

Baba asante kwa upendo wako na kutuamsha salama ,tunashukuru kwa afya ,kazi ,familia na upendo usio mwisho tunajikabidhi mikononi mwako bariki kazi za mikono yetu ,ponya,huisha,simamia mipango yetu,ponya wagonjwa,na wanaopitia changamoto mbalimbali na Baba tunaomba tunayopitia yasitutenge nawe yatuimarishe na kufungua macho ya rohoni tuuone ushindi wetu.Tunaomba kupitia mwanao mpendwa Yesu Kristo
Amen

NAWATAKIA SIKU NJEMA MBARIKIWE
 
WARUMI 8

37.Lakini katika mambo hayo yote tunashinda ;na zaidi ya kushindav,kwa yeye aliyetupenda.

38.Kwa maana nimekwisha kujua hakika kwamba ,wala mauti,wala uzima,wala malaika,wala yaliyopo ,wala yatakayokuwapo ,wala wenye uwezo,

39.Wala yaliyo juu wala yaliyochini ,wala kiumbe kingine chote hakitaweza kututenga na upendo wa Mungu ulio katika Kristo Yesu Bwana wetu

Baba asante kwa upendo wako na kutuamsha salama ,tunashukuru kwa afya ,kazi ,familia na upendo usio mwisho tunajikabidhi mikononi mwako bariki kazi za mikono yetu ,ponya,huisha,simamia mipango yetu,ponya wagonjwa,na wanaopitia changamoto mbalimbali na Baba tunaomba tunayopitia yasitutenge nawe yatuimarishe na kufungua macho ya rohoni tuuone ushindi wetu.Tunaomba kupitia mwanao mpendwa Yesu Kristo
Amen

NAWATAKIA SIKU NJEMA MBARIKIWE
Ameeeeniii ...

Asante kwa neno mapema nimefurahi sana make nilikuwa nataman uwe unatuwekeaa kwanza mapema ...ubarikiwe
 
1044cd638b43766898ea0a71c0bb49f2.jpg
 
Katika dondoo za bbc

Mazungumzo ya Uingereza kujitoa katika umoja wa ulaya yanaendelea mjini Brussels, Ubelgiji

Tanzania yazindua Kamusi kuu ya kiswahili yenye maneno 45,000 yaliyopatiwa tafsiri tofauti na Kamusi nyingine

leo ni siku ya wakimbizi duniani.Kambi ya wakimbizi ya Dadaab ni kubwa kuliko zote ulimweguni na miezi iliyopita wakimbizi kutoka nchini somalia wamerejea nchini mwao ili kuanzisha maisha upya.

Tuelekee nchini Sudan Kusini ambapo kesi inayowakabili wanajeshi kumi na watatu wanaokabiliwa na mashtaka ya mauaji na ubakaji wa wafanyikazi wa mashirika ya kimataifa ya kutoa misaada, inaaza tena leo.

Makubaliano ya kusimamisha mapigano yamesainiwa mjini Rome Italia kati ya serikali ya Jamhuri ya Afrika ya Kati na makundi ya waasi wa nchi hiyo.

Serikali Nchini Burundi imeanzisha kampeni ya kuwafundisha raia wake kuhusu sheria mpya inayo wakinga watu ambao wanafikwa na maovu au mateso kutokana na jinsi zao na pia adhabu zilizo andaliwa dhidi ya wahalifu hao

Katika mwezi huu mtukufu wa Ramdhan unaoendelea, waumini wa kiislamu duniani hujizuia kula au kunywa kutekeleza ibada hiyo muhimu,Wanaspoti wa kiislamu huvumilia muda mrefu wa kutokula kukamilisha ibada hiyo.Je, wanaspoti hao hufanikiwa vipi kutimiza hilo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom