ABiClever Junior
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 948
- 548
makapuku wenzangu mpooo
WARUMI 8
Baba asante kwa upendo wako na kutuamsha salama ,tunashukuru kwa afya ,kazi ,familia na upendo usio mwisho tunajikabidhi mikononi mwako bariki kazi za mikono yetu ,ponya,huisha,simamia mipango yetu,ponya wagonjwa,na wanaopitia changamoto mbalimbali na Baba tunaomba tunayopitia yasitutenge nawe yatuimarishe na kufungua macho ya rohoni tuuone ushindi wetu.Tunaomba kupitia mwanao mpendwa Yesu Kristo

Ameeeeniii ...WARUMI 8
37.Lakini katika mambo hayo yote tunashinda ;na zaidi ya kushindav,kwa yeye aliyetupenda.
38.Kwa maana nimekwisha kujua hakika kwamba ,wala mauti,wala uzima,wala malaika,wala yaliyopo ,wala yatakayokuwapo ,wala wenye uwezo,
39.Wala yaliyo juu wala yaliyochini ,wala kiumbe kingine chote hakitaweza kututenga na upendo wa Mungu ulio katika Kristo Yesu Bwana wetu
Baba asante kwa upendo wako na kutuamsha salama ,tunashukuru kwa afya ,kazi ,familia na upendo usio mwisho tunajikabidhi mikononi mwako bariki kazi za mikono yetu ,ponya,huisha,simamia mipango yetu,ponya wagonjwa,na wanaopitia changamoto mbalimbali na Baba tunaomba tunayopitia yasitutenge nawe yatuimarishe na kufungua macho ya rohoni tuuone ushindi wetu.Tunaomba kupitia mwanao mpendwa Yesu Kristo
Amen
NAWATAKIA SIKU NJEMA MBARIKIWE![]()
![]()
Mazungumzo ya Uingereza kujitoa katika umoja wa ulaya yanaendelea mjini Brussels, Ubelgiji
Tanzania yazindua Kamusi kuu ya kiswahili yenye maneno 45,000 yaliyopatiwa tafsiri tofauti na Kamusi nyingine
leo ni siku ya wakimbizi duniani.Kambi ya wakimbizi ya Dadaab ni kubwa kuliko zote ulimweguni na miezi iliyopita wakimbizi kutoka nchini somalia wamerejea nchini mwao ili kuanzisha maisha upya.
Tuelekee nchini Sudan Kusini ambapo kesi inayowakabili wanajeshi kumi na watatu wanaokabiliwa na mashtaka ya mauaji na ubakaji wa wafanyikazi wa mashirika ya kimataifa ya kutoa misaada, inaaza tena leo.
Makubaliano ya kusimamisha mapigano yamesainiwa mjini Rome Italia kati ya serikali ya Jamhuri ya Afrika ya Kati na makundi ya waasi wa nchi hiyo.
Serikali Nchini Burundi imeanzisha kampeni ya kuwafundisha raia wake kuhusu sheria mpya inayo wakinga watu ambao wanafikwa na maovu au mateso kutokana na jinsi zao na pia adhabu zilizo andaliwa dhidi ya wahalifu hao
Katika mwezi huu mtukufu wa Ramdhan unaoendelea, waumini wa kiislamu duniani hujizuia kula au kunywa kutekeleza ibada hiyo muhimu,Wanaspoti wa kiislamu huvumilia muda mrefu wa kutokula kukamilisha ibada hiyo.Je, wanaspoti hao hufanikiwa vipi kutimiza hiloAmen Asante ubarikiweAmeeeeniii ...
Asante kwa neno mapema nimefurahi sana make nilikuwa nataman uwe unatuwekeaa kwanza mapema ...ubarikiwe

UbarikiweWakuu...
Muwe na usiku mwema.
UbarikiweNawatakieni usiku mwema makapuku wote