Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Tushaliamsha dudeeeKuna speed humu leo, tangu alfajiri
Tushaliamsha dudeeeKuna speed humu leo, tangu alfajiri
Watu wa mazingira kazi yao hiyoZiwa Tanganyika ni tajiri ni muhimu hatua za haraka zifanyike kuliokoa ,Mungu awape hekima wafanya maamuzi
Jambo jema sana na Mungu aendelee kumsimamia katika afya yakeAnaendelea vizur dada Leo mchana atatoka hospital
Mi mzima kabisa
Hi Shunie Love you my baby girl stay Blessed..Kweli kabisa mama mchungaji

Namwambia ukweliiiiNilijua tu![]()
![]()
![]()
![]()
Oooooo on behalf thanks alout ....Hi Shunie Love you my baby girl stay Blessed..![]()
![]()
![]()
Asante kwa magazeti shemejiView attachment 524823Kwa udhamini mnono wa Aganza niwatakie siku njema
Documentary zao na baadhi ya vipindi huwa wanaviandaa vizuri sana na kuvitafiti kwa kina. Uwasilishaji wao pia umeenda shule (animation nzuri katika 3D zinasaidia sana katika kufafanua dhana ngumu katika sayansi) Yaani wanakuelezea mambo ya Black Holes mpaka unaelewa kabisa. Morgan Freeman akisimulia kipindi cha "Through the Wormhole With Morgan Freeman" hata kama ni kichwangumu vipi utaelewa tu. Sayansi tungefundishwa hivi ingekuwa poa sana.Hizo chanel zina maarifa ya hali ya juu sana
Ni kweli kabisa, pia usiruhusu watoto kuangalia cartoon, zinaharibu sana watoto na zinachochea mapenzi ya jinsia mojaTukubali tusikubali TV zimechangia kwa kiasi kikubwa kushuka kwa maadili,malezi kuwa njia panda watoto wanalelewa na TV,NA ZIPO SERIESVzinafundishavumagharibi ujeuri,ubabe,ushoga,uhuni,ujambazi,matumizi mabaya ya madawa,watoto kutoshiriki,kazi za nyumbani....hakika Mungu atusaidie wazazi kujua mbinu mbadala za kuwajenga watoto maana hata ukiwachapa hawaelewi mtoto anaweza kukupeleka polisi...ndiyo kuna watu wamepelekwa polisibna watoto wa kuwazaaa ..Tuombe Roho Mtakatifu atuongoze![]()
Kweli dude limeamshwaTushaliamsha dudeee
Hi Shunie Love you my baby girl stay Blessed..Kweli kabisa mama mchungaji
Anaendelea vizur dada Leo mchana atatoka hospital
Mi mzima kabisa
NimeelewaNamwambia ukweliiii
Unamuona mama D mwendo wa kulike tuKweli dude limeamshwa
Pamoja sana shemeji MndaliAsante kwa magazeti shemeji
Amina SHIMBA,Hakika muhimu kujisomea,asante kutukumbushaGoogle na Wikipedia zipo shem. Search: Solar flares and Earth's magnetic field, What will happen to our Sun? The end of planet Earth...Ukikosa huko nenda Discovery, Science na hata History Channels ukajisomee.
Ni uzembe wa kujisomea tu lakini kwa sasa maarifa yapo viganjani mwetu. Kumekuchaje?
Uliifuatilia story ya yesu?Documentary zao na baadhi ya vipindi huwa wanaviandaa vizuri sana na kuvitafiti kwa kina. Uwasilishaji wao pia umeenda shule (animation nzuri katika 3D zinasaidia sana katika kufafanua dhana ngumu katika sayansi) Yaani wanakuelezea mambo ya Black Holes mpaka unaelewa kabisa. Morgan Freeman akisimulia kipindi cha "Through the Wormhole With Morgan Freeman" hata kama ni kichwangumu vipi utaelewa tu. Sayansi tungefundishwa hivi ingekuwa poa sana.
Sasa nawafuatilia hawa jamaa wa Ancient Aliens. Wananifurahisha sana na nadharia zao za mambo ya kale, nadharia ambazo ziko nje ya mainstream science...
Binamu wa pedeshee king of all Bongo peremendez hajambo?![]()
![]()
![]()
![]()
Kumekucha poa tu