Makapuku Forum

Makapuku Forum

Unaona kujikosha huko? Eti Obe ndiyo mtu wa totoz. Utafikiri pedeshee mutu ya peremende na mutu ya totoz kuna tofauti kubwa! Actually, in my view, the former is worse especially for a married man!‍♂️‍♂️‍♂️‍♂️‍♂️‍♂️‍♂️‍♂️‍♂️‍♂️‍♂️
 
b9c505ae949e881f56d2eb98619b73bd.jpg
 
Unazungumzia DaVinci Code ama? Inabidi kuwa mwangalifu na haya mambo mpendwa kwa sababu program zingine ni propaganda za watu na zimelengwa kutimiza malengo maalum yaliyokusudiwa na sponsors. Always akili za kuambiwa changanya na zako.

Discovery na History channel kwa kawaida hawakupi conclusion. Wanaripoti tu "facts" kulingana na utafiti wao halafu wanakuacha mwenyewe ufikie conclusion unayotaka. Hawana propaganda za wazi kama hao jamaa uliowataja hapo juu.
Nimekupata vyema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom