BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Sio rahisi.Show off nyingine ni hopeless. Haya maji ya mafuriko ni masafi kweli kiasi cha kustarehemo namna hii?![]()
Sio rahisi.Show off nyingine ni hopeless. Haya maji ya mafuriko ni masafi kweli kiasi cha kustarehemo namna hii?![]()
HBD TUPAC OMAR SHAKUR DAIMA TUNAKUKUMBUKA...RIP1971 - Tupac Amar Shakur anazaliwa.
Alikuwa ni rapa wa Hiphop kutoka nchini Marekani
HBD Jurgen Klopp1967 - Jurgen Klopp anazaliwa.
Kocha wa zamani wa Borussia Dortmund na wa sasa wa Liverpool.
Yaani waliona mbali,ila sijui wanadhibiti vipi.2010 - Bhutan yawa nchi ya kwanza kupinga matumizi ya aina yoyote ya Tumbaku.
1971 - Tupac Amar Shakur anazaliwa.
Alikuwa ni rapa wa Hiphop kutoka nchini Marekani
RIP Wanafunzi..nawote waliopoteza maisha kwa ajili ya ubaguzi wa rangi unaoendelea duniani kote.1976 - Soweto Uprising: Wanafunzi 15,000 wanapambana na askari huko Afrika ya Kusini na kusababisha askari hao kuwauua wanafunzi hao kwa risasi.
Ondoa shemeji mm na ww tenaNahisi kama vile utanigeuka muda si mrefu ujao. Sawa tu shem hakuna neno!
Hahahaha SHIMBA BWANA UNANIFURAHISHA SANA...ILA NI FUNZO TUSIBADILISHWE NA KIPATO
Mtu mzimaaa,akili imekua ya mjukuu
NO TO "WEED"
Hongera Ford manufactures kazi yenu ni njemaLeo katika Historia:
1903 - Kampuni ya Magari ya Ford yaanzishwa.
Ndio mtuambie sasa
We ongea tu mwisho povu namwagiwa mie ShemUnaona kujikosha huko? Eti Obe ndiyo mtu wa totoz. Utafikiri pedeshee mutu ya peremende na mutu ya totoz kuna tofauti kubwa! Actually, in my view, the former is worse especially for a married man!♂️
♂️
♂️
♂️
♂️
♂️
♂️
♂️
♂️
♂️
♂️
SureUnaona kujikosha huko? Eti Obe ndiyo mtu wa totoz. Utafikiri pedeshee mutu ya peremende na mutu ya totoz kuna tofauti kubwa! Actually, in my view, the former is worse especially for a married man!♂️
♂️
♂️
♂️
♂️
♂️
♂️
♂️
♂️
♂️
♂️
We tiari?!
Baba D nimefurahi unaendelea vizuri tutaonana badae shunie anakupenda wewe tu

Hahaha mweh
- Leo ni siku ya Mtoto wa Afrika.
Nawe pia mkuuLeo Katika Historia:
Niwatakie wikiend njema.
Ubarikiwe kakaNiwatakie asubuhi njema makapuku wenzangu