Makapuku Forum

Makapuku Forum

Asubuh njema wana makapuku
a9bb3eff7b84c76f183e00812fd1d336.png
 
ya kweli hayoo?
Google na Wikipedia zipo shem. Search: Solar flares and Earth's magnetic field, What will happen to our Sun? The end of planet Earth...Ukikosa huko nenda Discovery, Science na hata History Channels ukajisomee.

Ni uzembe wa kujisomea tu lakini kwa sasa maarifa yapo viganjani mwetu. Kumekuchaje?
 
Google na Wikipedia zipo shem. Search: Solar flares and Earth's magnetic field, What will happen to our Sun? The end of planet Earth...Ukikosa huko nenda Discovery, Science na hata History Channels ukajisomee.

Ni uzembe wa kujisomea tu lakini kwa sasa maarifa yapo viganjani mwetu. Kumekuchaje?
Samahan kiongozi naomba kuswalisha ...

Eti husna ni shemu kwa nan
 
Katika dondoo za bbc. .


Polisi jijini London nchini Ungereza wamesema ni vigumu kutambua miili ya watu waliokufa katika tukio la ajali ya moto ulioteketeza jengo la ghorofa Magharibi mwa mji huo siku ya Jumanne kutokana na kuharibika vibaya.

Ziwa Tanganyika limetajwa kuwa ziwa la mwaka lililo hatarini.Wanasayansi wanasema, shughuli za binadamu kama vile ukataji miti pembezoni mwa ziwa, umwagaji wa sumu kutoka viwandani na hata kutoka kwa makazi ya watu kunaendelea kuathiri samaki na viumbe vingine vilivyomo ziwani humo.

Maendeleo ya sayansi na teknologia kama vile kuwepo kwa vipindi mbalimbali vya Televisheni, yanatajwa kuchangia kuvunjika kwa maadili ya watoto katika nchi za Afrika mashariki.

Kenya yakabiliwa na upungufu mkubwa wa mahindi.Wakulima wameishiwa na akiba, hifadhi ya serikali imeisha, na mahindi yanayoagizwa kutoka nchi za nje hayakidhi mahitaji.

Utasikia mwimbaji mashuhuri wa Kenya, Linet Munyali kwa jina la kisanii Size Eight, akizungumzia wimbo alioutunga juu ya maisha magumu aliyoyapitia awali.
Ziwa Tanganyika ni tajiri ni muhimu hatua za haraka zifanyike kuliokoa ,Mungu awape hekima wafanya maamuzi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom