Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,228
- 68,243
Pamoja mkuu!Shukrani mdau
Tukutane baadaye
........
Pamoja mkuu!Shukrani mdau
Tukutane baadaye
........
Ndani ya 24hrs utakosa robo saa ya kutupatia kilicho bora?
HBD George H.W.Bush1924 - George H.W. Bush anazaliwa.
Luteni wa zamani wa Jeshi la Marekani.
Mkurugenzi Mkuu wa zamani wa CIA.
Makamu wa Rais wa zamani wa Marekani chini ya Rais Ronald Reagan.
Rais wa 41 wa Marekani ambaye kutokana na sera zake mbovu za Uchumi na vita alijikuta akitawala kwa kipindi kimoja tu.
Ndiye baba wa Rais wa 43 wa Marekani, George W. Bush
Wakati huo alikuwa anatamba Mr II na YamenikutaJamaa sijui alikuwa anacheza wimbo gani..labda 'pombe yangu'![]()
HBD, RIP Anne Frank1929 - Anne Frank anazaliwa.
Alikuwa ni binti wa Kijerumani na mhanga wa mauaji yaliyofanywa na NAZI. Alifariki akiwa na miaka 16.
HBD philipe1992 - Philipe Coutinho anazaliwa.
Kiungo mshambuliaji wa Liverpool na timu ya taifa ya Brazil.
Ahsante mkuu kwa heading na UFTuwe na siku njema wakuu ...
But we need to..![]()
Asante kwa leo katika historia mkuu musoliniLeo katika Historia:
Niwatakie siku njema.
Salama mkuu?TUPATE DONDOO ZA MAGAZETI YA LEO
Pamoja kiongoziAsante kwa leo katika historia mkuu musolini
Hayajaisha, ila Kuna mgogoro tuMapenzi yameisha tu
Kwa hiyo huyu mwanamke anahaki ya kusema nimezoea kulelewa?Haha..You have experience on him..... Una haki ya kuongea.
MorningMorning Makapuku
Ahsante kwa taarifa mkuuMfungo 17 leo, Ramadhan Kareem
Salama kabisa, mambo yanaendajeSalama mkuu?
Hongera kwa mtoto kushinda usomaji wa Quran
Kwani unapotajwa haupati notification?Hahaaaaaa bro umejuaje kua kakusema?
Wahusika wa kifo cha mwanafunzi watafutwe wapatiwe stahiki yao
It's a shame in AfricaView attachment 522558Mpaka hapo sina la ziada tukutane tena kesho muda na wakati kama huu kwa udhamini wa Mussolin5 nawatakieni siku njema