shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Nzuri kabisa mama watoto wanguHbr ya asubuhi baba watoto![]()
![]()
Nzuri kabisa mama watoto wanguHbr ya asubuhi baba watoto![]()
![]()
Ooohooo![]()
![]()
![]()
kidaby kimezoea kulelewa
Hata akiwa mchawi cndo oulomchagua mpeleke kwa mama mchuchu akafanyiwe maombiMi simtaki tena
Siwezi kuishi na mchawi mid
Nashukuru alivyojisema mwenyewe
AmeeeniiHbr ya asubuhi wapendwa,muwe na mwanzo wa wiki mwema![]()
![]()
![]()
NipooooShemela![]()
![]()
Mpaka na mi niweke leaving certificate ndio nitaonekana mtu mzima humu? Huyo Obe nilimwambia kila zama na watu wake. Kama alikuja na ngonjera za "eyo wasapu" obviously lazima aonekana joti to my BlessedHope.
Mchawi ni shedede sio mie asee
![]()
![]()
Asante kwa dondooDondoo za bbc
Zaidi ya wafungwa 930 wametoroka baada ya kutokea shambulizi na kuvunja gereza moja huko Congo DRC.
Mzunguko wa kwanza wa kura za maoni katika uchaguzi wa wabunge nchini Ufaransa unaonyesha dalili za chama kipya cha rais Emmanuel Macron kuweza kujinyakulia viti vingi vya bunge.
Afrika Kusini itaadhimisha miaka mitano ya mauaji ya wachimba migodi 34 wa Marikana waliouawa walipokua wakiandamana kudai nyongeza ya mshahara walipotaka ufikie kiwango cha dola elfu moja.
Rais wa Soimalia Mohamed Abdullahi Farmajo amesema kuwa majeshi ya taifa hilo kwa kushirikiana na majeshi ya Marekani wamefanya shambulio kubwa katika ngome ya Al Shabab.
Unafahamu kwamba muziki aina ya Salsa ni mwondoko wa Kiafrika, ambao kwa sasa unarejea nyumbani?
Goodmorning mkuu...Goodmorning family.....one love![]()

baba paroko nadhani atakuwa anautafuta uso wa bwana uko alipo maana mwenyewe naona kimya kimezidiHabari yako mkuu
Hivi baba paroko kapotelea wapi?
Hapo unayumba ondoa neno mtima weka maneno haya NIFUNDISHE NIPATE KUMJUA MUNGU
Uwe na wakati mwema mama
Nashukuru sana Komredi, nikiwa kama mdhamini wa leo, nishukuru kwa niaba ya wote!View attachment 522558Mpaka hapo sina la ziada tukutane tena kesho muda na wakati kama huu kwa udhamini wa Mussolin5 nawatakieni siku njema
Mbaya sana hata kuisikiaWazungu wapuuzi sana
Walipokuja Afrika pia walishangaa jinsi dada na mama zetu walivyojaaliwa makalio makubwa![]()
Wakawachukua wanawake wawili au watatu wa Kisauzi akiwemo Sarah Baartman ambaye alikuwa na makalio makubwa na uke wenye mashavu makubwa na kwenda kuwaweka Ulaya kwenye show room uchi wa mnyama ili kila mtu ajionee maumbile yao na kufaidj
Wametudhalilisha sana enzi za ukoloni
.
.
.
Ahsante kutuletea facts mdau
....
Njema nawe pia mpendwaHbr ya asubuhi wapendwa,muwe na mwanzo wa wiki mwema![]()
![]()
![]()
You have experience on him..... Una haki ya kuongea.![]()
![]()
![]()
kidaby kimezoea kulelewa
Uchokozi huo Rafiki kipenzMke wa mchawi u mzima ??
Mchawi wako kaamkajee