Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
HakikaJumatatu njema..!!View attachment 522681
HakikaJumatatu njema..!!View attachment 522681
There you areKwa hiyo huyu mwanamke anahaki ya kusema nimezoea kulelewa?Haha..
Ok, let's say nimezoea kulelewa na nilimwacha kisa alishindwa kunilea.
Nzuri mkuu NyageiYanaenda vyema kabisa
Habari ya uzima
Muulize Gademuu ndio nini?
Kutoka Maktaba, unakumbuka wapi?
View attachment 522689View attachment 522690View attachment 522691View attachment 522693View attachment 522694
Inaumiza ndiyo but we are still doing the same. Huoni mawigi, mikorogo na upuuzi mwingine wa kuabudu kila kitu cha mzungu? Bado wanatudhalilisha tu japo sasa tunajidhalilisha wenyewe. Nothing has changed!Inaumiza sana mkuu
Unafiki! Si kwa kujikomba huku aisee. "Rafiki kipenzi. Sawasawa kabisa. Pamoja mkuu". Dah! Sote tunajua kuwa huyo ni mume mwen.....Morning Rafiki kipenz.... Sawasawa kabisa.....pamoja mkuu.



Msizidishe basi haya mambo ya kipenzi rafiki! You are men dammit!Pamoja sana kipenzi rafiki
Neno hili huwa anaambiwa sana Le Mutuz na haters wake. Sina uhakika kama ni neno jema. Hata hivyo hapa limetumika kama proper noun. Bila shaka ni jina la mtu...Muulize Gademuu ndio nini?
wacha uchonganishi bagheshi.... Kumbuka imeandikwa Kwenye Bible na hapa ninanukuu:"Heri wale wapatanishi maana wataitwa wana mungu" mwisho wa kunukuu.Unafiki! Si kwa kujikomba huku aisee. "Rafiki kipenzi. Sawasawa kabisa. Pamoja mkuu". Dah! Sote tunajua kuwa huyo ni mume mwen.....![]()
Msizidishe basi haya mambo ya kipenzi rafiki! You are men dammit!
Yes he loves usMchana unaendeleaje Makapuku? Mungu Anatupenda!![]()
Labda itakuwa hivyo mkuuNeno hili huwa anaambiwa sana Le Mutuz na haters wake. Sina uhakika kama ni neno jema. Hata hivyo hapa limetumika kama proper noun. Bila shaka ni jina la mtu...
mkuu nifundishe unafanyaje.. na mimi nataka kulelewaKwa hiyo huyu mwanamke anahaki ya kusema nimezoea kulelewa?Haha..
Ok, let's say nimezoea kulelewa na nilimwacha kisa alishindwa kunilea.
Inapendeza sanaNzuri mkuu Nyagei
hivi watu waliozaliwa 90s walizitumia hizi hela?Kutoka Maktaba, unakumbuka wapi?
View attachment 522689View attachment 522690View attachment 522691View attachment 522693View attachment 522694
It's long timeKutoka Maktaba, unakumbuka wapi?
View attachment 522689View attachment 522690View attachment 522691View attachment 522693View attachment 522694