Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hao ndugu siwaelewi kabisa
Huku ni "kuitesa maiti tu" mtu wao keshakufa wamzike maisha yaendelee
Sasa wanahangaika na mahakama utafikiri ndugu yao atafufuka....hata kama wauaji wakifungwa hawapati faida yoyote..hata km wakilipwa fidia bado uchungu wa kufiwa hauwezi kumalizwa na pesa

Kwanza ni ngumu sana kwa nchi zinazoendelea raia kuwashtaki Polisi na kushinda kesi
Wakumbuke kuna watu ndugu zao wamefariki na maiti zao hazijawahi kupatikana
Sasa hawa kuzika tu ndugu yao hawataki
Wastage of time

.
.
.
Ahsante kwa magazeti
..........
Bitoz, jamii yetu inashida sana hapa upande wa kujitambua

Pamoja mvuvi wa kambale
 
Dondoo za bbc

Zaidi ya wafungwa 930 wametoroka baada ya kutokea shambulizi na kuvunja gereza moja huko Congo DRC.

Mzunguko wa kwanza wa kura za maoni katika uchaguzi wa wabunge nchini Ufaransa unaonyesha dalili za chama kipya cha rais Emmanuel Macron kuweza kujinyakulia viti vingi vya bunge.

Afrika Kusini itaadhimisha miaka mitano ya mauaji ya wachimba migodi 34 wa Marikana waliouawa walipokua wakiandamana kudai nyongeza ya mshahara walipotaka ufikie kiwango cha dola elfu moja.

Rais wa Soimalia Mohamed Abdullahi Farmajo amesema kuwa majeshi ya taifa hilo kwa kushirikiana na majeshi ya Marekani wamefanya shambulio kubwa katika ngome ya Al Shabab.

Unafahamu kwamba muziki aina ya Salsa ni mwondoko wa Kiafrika, ambao kwa sasa unarejea nyumbani?
Kwangu hiyo habari ya wafungwa kutoroka ndo habari iliyonivutia
Mara wafungwa waliofungwa kionevu wakirudi uraiani hujipanga kulipiza hapo sasa...
.....
 
salama mchawi wa sumbawanga
Aisee, mbona hapa sielewi

Mke wa mchawi u mzima ??

Mchawi wako kaamkajee


Nawaooonaaa nawaogopaaaa

Nyie sio wenzetu

Mi simtaki tena

Siwezi kuishi na mchawi mid

Nashukuru alivyojisema mwenyewe

Kwani kuishi nae mpaka uwe mchawi ??



Mama mchawi nakuonaaa

Mchawi ni shedede sio mie asee

 
Tuwe na siku njema wakuu ...

But we need to..
201c675f657441df2a751b626f3a6fda.jpg
 
Wazungu wapuuzi sana
Walipokuja Afrika pia walishangaa jinsi dada na mama zetu walivyojaaliwa makalio makubwa
960e67f20bab254392f7b273f3563a89.jpg

Wakawachukua wanawake wawili au watatu wa Kisauzi akiwemo Sarah Baartman ambaye alikuwa na makalio makubwa na uke wenye mashavu makubwa na kwenda kuwaweka Ulaya kwenye show room uchi wa mnyama ili kila mtu ajionee maumbile yao na kufaidj
Wametudhalilisha sana enzi za ukoloni

.
.
.
Ahsante kutuletea facts mdau
....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom