Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
wana roho mbaya sana hawa watu wa magharibi, sijuagi kwanini wapo hivyoMbaya sana hata kuisikia
Leo Katika Historia:
1987 - Dikteta wa zamani wa Afrika ya Kati, Jean Bedel Bokassa anahukumiwa kunyongwa kwa makosa aliyofanya katika Utawala wake wa miaka 13.
I seeYou have experience on him..... Una haki ya kuongea.
hatari!Mmh!
Na wewe uongozwe na mungu mama mchungajiMbarikiwe waislamu wote Ramadhan Kareem
Vp Kwani Rafiki kipenz.... Kunani kuleeeeNawaooonaaa nawaogopaaaa
Nyie sio wenzetu![]()
![]()
![]()
Ina maana Shedede mchawi?Mi simtaki tena
Siwezi kuishi na mchawi mid
Nashukuru alivyojisema mwenyewe
Nawaooonaaa nawaogopaaaa
Nyie sio wenzetu![]()
![]()
![]()
Wakili wako mimiHivi wewe ni wa kunisema hivyo? Nilelewe kwa lipi? Haha! na nipewe nini nisichonacho?
Nitake radhi kwa ulichokisema. La sivyo hii ni offence kwangu.
1997 - Malkia Elizabeth wa II wa Uingereza anafungua kituo cha Globe Theatre jijini London.
Kwa hio ulitaka kumsengenya?![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
nilijua haupo huku
![]()
![]()
![]()
![]()
Subiri ageuke popobawaMchawi ni shedede sio mie asee
![]()
![]()
Maua ukiyoniahidi yapo au yashanyauka kama mgagani!!!?
heshima yko binamu