mzeewakungoa
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,969
- 13,920
Asante mkuu Shululu kwa vichwa vya habari za magazeti ya leo.Pamoja mkuu
Asante mkuu Shululu kwa vichwa vya habari za magazeti ya leo.Pamoja mkuu
HahahaahaKirat ....![]()
Asante mkuuTUPATE DONDOO ZA MAGAZETI YA LEO
Morning mukongo wa mama mchungajiGoodmorning family.....one love![]()
KaribuAsante Lee
Mke wa mchawi u mzima ??![]()
![]()
![]()
kidaby kimezoea kulelewa
Ubarikiwe mkuu Shululu siku njema kwako piaView attachment 522558Mpaka hapo sina la ziada tukutane tena kesho muda na wakati kama huu kwa udhamini wa Mussolin5 nawatakieni siku njema

Pamoja sana mzeewakungoaAsante mkuu Shululu kwa vichwa vya habari za magazeti ya leo.
Mbarikiwe waislamu wote Ramadhan KareemMfungo 17 leo, Ramadhan Kareem
Salama karibu sananiaje wakuu,nimemiss sana kijiwe chetu...
Mi simtaki tenaNawaooonaaa nawaogopaaaa
Nyie sio wenzetu![]()
![]()
![]()
Hivi wewe ni wa kunisema hivyo? Nilelewe kwa lipi? Haha! na nipewe nini nisichonacho?![]()
![]()
![]()
kidaby kimezoea kulelewa
Hivi wewe ni wa kunisema hivyo? Nilelewe kwa lipi? Haha! na nipewe nini nisichonacho?
Nitake radhi kwa ulichokisema. La sivyo hii ni offence kwangu.
nilijua haupo huku

Hao ndugu siwaelewi kabisa
Kwani kuishi nae mpaka uwe mchawi ??Mi simtaki tena
Siwezi kuishi na mchawi mid
Nashukuru alivyojisema mwenyewe
Ameen!Mbarikiwe waislamu wote Ramadhan Kareem