shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Pamoja mkuuAhsante mkuu
Pamoja mkuuAhsante mkuu
hivi mpo wote humu?au wale wa wakati wamepotea?Pamoja mkuu
Tupohivi mpo wote humu?au wale wa wakati wamepotea?
Asante mkuuMfungo 17 leo, Ramadhan Kareem
Tupo mkuuniaje wakuu,nimemiss sana kijiwe chetu...
Ahsante pia mkuuAsante mkuu
jitahidi kuheshimu watu wanaojiheshimu.Nasikia eti shem Valentina ni kikongwe anakinyonya kitoto kidogo Daby cha form six
Morning papaaGoodmorning family.....one love![]()
Morning Rafiki kipenz.... Sawasawa kabisa.....pamoja mkuu.Good morning family. ..ni siku nyingine na mwanzo mzuri wa wiki ..yatupasa kuitumia vyema na kufanya yampendezayo Muumba wetu ...
Soon UF
Asante Rafiki kipenz kwa UF na dondoo za bbcKama kawaida yetu mkuu
Umeamka salama ??
Pamoja sana kipenzi rafikiAsante Rafiki kipenz kwa UF na dondoo za bbc
Good morning Lee we Shunie ubarikiweGood morning family. ..ni siku nyingine na mwanzo mzuri wa wiki ..yatupasa kuitumia vyema na kufanya yampendezayo Muumba wetu ...
Soon UF
Good morning mama mchungajiGood morning Lee we Shunie ubarikiwe
Asante LeeDondoo za bbc
Zaidi ya wafungwa 930 wametoroka baada ya kutokea shambulizi na kuvunja gereza moja huko Congo DRC.
Mzunguko wa kwanza wa kura za maoni katika uchaguzi wa wabunge nchini Ufaransa unaonyesha dalili za chama kipya cha rais Emmanuel Macron kuweza kujinyakulia viti vingi vya bunge.
Afrika Kusini itaadhimisha miaka mitano ya mauaji ya wachimba migodi 34 wa Marikana waliouawa walipokua wakiandamana kudai nyongeza ya mshahara walipotaka ufikie kiwango cha dola elfu moja.
Rais wa Soimalia Mohamed Abdullahi Farmajo amesema kuwa majeshi ya taifa hilo kwa kushirikiana na majeshi ya Marekani wamefanya shambulio kubwa katika ngome ya Al Shabab.
Unafahamu kwamba muziki aina ya Salsa ni mwondoko wa Kiafrika, ambao kwa sasa unarejea nyumbani?
SureTuwe na siku njema wakuu ...
But we need to..![]()
Ngoja mengi hili gazeti