Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wasukuma kwa vyeupe utawajua tu
Ni kweli. Utafikiri tumerogelezewa mkuu. Binti mweupe mahari yake ni ya kutisha. Mimi nimepanga kuoa chokleti orijino ili kuvunja hii bias.

Ila inaonekana siyo Wasukuma pekee. Huoni hata list ya Bitoz hapo juu imejaa wanawake weupe tupu?
11aeef4170980984f6203421a6e74cfd.jpg
 
Pole ya nini mpotezee huyo hawezi kuja na mikwara ya kitoto kutaka sifa kwa wana makapuku.

Hajui kwamba uamuzi ni wako Kukataa au kukubali?
Nimkubali mara ya ngapi...

Nilikuona mstaarabu saaana kumbe ilikuwa gia tuu..

Tuliyamaliza muda sanaaa, halafu wanaume kugombana na kupeana mipasho sio mpango!!!!

Kawaida ya Wanaume ni kukubaliana tuu, mipasho waachie wanawake tena wenye akili finyu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom