shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Wakati ya ngoswe mwachie ngosweBitoz aka Madenge tunajuana sana na kupapurana hivyo ni kawaida. Kwako wewe usiyeelewa ndiyo unaona ajabu. Ya Ngoswe ....
Wakati ya ngoswe mwachie ngosweBitoz aka Madenge tunajuana sana na kupapurana hivyo ni kawaida. Kwako wewe usiyeelewa ndiyo unaona ajabu. Ya Ngoswe ....
Mussolin unaijua mitaaVuga road pia
Utaitwa central ohoooKoromije Rahaaaaaa! Huyu ndiye mwenyekiti wa kijiji.![]()
unajua mwenyewe ulichofanyaShemela vip tena
Ana Heineken aiseeKoromije Rahaaaaaa! Huyu ndiye mwenyekiti wa kijiji.![]()
Nikikutajia huko utasema ni kwetuMussolin unaijua mitaa
Asante Komredi!!1/Princess Lalla SALMA![]()
![]()
Ana umri wa miaka 39
Ndiye mke wa King Mohammed VI wa Moroko mwenye umri wa miaka 54
Ndiye Mfalme bishoo aliyekuja bongo mwaka jana akiwa na mapozi na macho ya kurembua kiasi watu kumsimanga kwamba ni shoga ila Sizonje alilamba misaada
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane Jumatatu
Mwisho
......
Nisamehe shemela wangu wa ukweliunajua mwenyewe ulichofanya
ndio heinken yao halaf shemela heinken imekukaa ndio kinywaji chako niniAna Heineken aisee
ujue nina wasi wasi na ww ushafika kongwendaNikikutajia huko utasema ni kwetu
Mimi winendio heinken yao halaf shemela heinken imekukaa ndio kinywaji chako nini
tu shemela
sitakiiii chochoteNisamehe shemela wangu wa ukweli
Kunywa Heineken kwanza hapo au dompo
aiseeMimi winetu shemela
Hmmm..... ....it has become that much serious.Sakayo keshasema yupo na mimi ; its enough..
Afu pia wanaume huwa hatugombanii wanawake mkuu..
Umepiga sound umekuta ana mtu tayari...basi muache nenda zako.
Simple hivyo! And life goes..
Kumbe unajijua dada kwamba wakati unakuaga mkali sana eehsijaelewa ujue sio matani ya hiviii me ndio mana acha niwe mkali tu matani ya kijinga sitaki kabisa
Sorry![]()
![]()
Ohooo.....
bora mnijue tu hakuna namna sitaki matani ambayo hayana kichwa wala miguuKumbe unajijua dada kwamba wakati unakuaga mkali sana eeh
Kama kawaida yakoNtakupaa
Leo twende out ??