Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hii ni kwa mpendwa wangu wa dhati kabisa pasi na kupepesa macho mnamjua kama hamumtambui basi nami sitambuliki.
Jorowe amesema kwake kuandika ni hobby na huwa anafarijika anapoandika hasa kutuandikia sisi Makapuku wengine, naheshimu mchango wako Obe.
Leo katika kusikiliza nyimbo zilizopo kwenye flash niliyoletewa na shemeji yenu kuna wimbo umeimbwa na George Benson unaitwa Nothings gonna change my love for you, Jorowe utakuja kuongezea nyama hapa ili tujue original version ya wimbo huu.
Baada ya kusikiliza nikapata wazo la kusikiliza ikiwa katika guitar version na hii imekuwa nzuri zaidi maana unajikuta kama upo studio unaingiza sauti.



Leo nimejitahidi kuandika sababu kuna vitu vimenisukuma kufanya
Cc Linamo
Cc Obe (Jorowe)



Mdau Nyagei, kwanza kabisa asante kwa kuwa unapitia muziki unaopandishwa hapa Makapuku, ni jambo jema sana kushukuru.

Pili nimemuona hizo saa alizovaa huyu jamaa? Well, moja hiyo ya silver silver inafanana na yangu.

Turudi kwenye suala la msingi, nyimbo hii ya kwenye flash (shukuru haijaliwa na virus) ni nzuri na GB aliutendea vema wimbo huu ambao baada ya yeye kuurekodi waimbaji kibao na band ziliuimba pia. Siku moja nitakuja na GB na tutaungana pamoja kufurahia muziki hapa Makapuku
 
Costa anasema kocha ndio tatizo, wakati alipofunga gori lake la mwisho alinyosha mikono juu kuwaaga mashabiki wa Chelsea
c5975ea29bdeb8ac6a4126d14d8858cd.jpg
aelekee tu Stoke City
 
2/Sylvia Bongo Ondimba
087786fcbbc4610376675a25c7007bbd.jpg
7c5d1c54445b32a745bbb8ca88164795.jpg
9e7c2defb51758deba5b03d95806c7b4.jpg

Rais wa Gabon Omar Bongo alifariki mwaka 2009 akiwa na miaka 74
Alipendelea kujiita Rais wa maisha lakini kifo hakina adabu siku ya Mwisho akaiachia Ikulu na kwenda kuozea kaburini na kumuacha mkewe mpweke
Alikuwa alikuwa ni kiongozi tapelitapeli nafikiri jina lake la Bongo ndiyo chanzo cha Dar/Tz kuitwa Bongo kutokana na idadikubwa ya watu kuishi kitapeli na ujanjaujanja tu

Sylvia Ondimba ana umri wa miaka 54
.....
 
Mdau Nyagei, kwanza kabisa asante kwa kuwa unapitia muziki unaopandishwa hapa Makapuku, ni jambo jema sana kushukuru.

Pili nimemuona hizo saa alizovaa huyu jamaa? Well, moja hiyo ya silver silver inafanana na yangu.

Turudi kwenye suala la msingi, nyimbo hii ya kwenye flash (shukuru haijaliwa na virus) ni nzuri na GB aliutendea vema wimbo huu ambao baada ya yeye kuurekodi waimbaji kibao na band ziliuimba pia. Siku moja nitakuja na GB na tutaungana pamoja kufurahia muziki hapa Makapuku
mambo ya saa ya mshale binamuuuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom