Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mkuu hakuna tatizo wala..

Kila mtu anaheshimiwa kaka..

Lakini kuna utani mwingine ni mbaya.

Huwezi kuja kimtukana mtu wakati humjui wala hujui yeye ni nani..

So far wengi humu tunafaamina maisha ya nje ya jf...sasa kama mtu analeta matusi humu sio ustaarabu wala sio heshima..

Otherwise kaa makapuku ujifunze humu watu wanaishi vipi..

Karibu mkuu.
Mkuu umekuja.... Afadhali binamu apumue.... Alikuwa ameshaishiwa maneno maskin
 
Mama Mchungaji. Kuna mtu huku anahitaji maombi yako - tena ya kufunga na kukemea mapepo sugu
0646b6c8f31de19b1c846ed2e9b6ffaf.jpg
 
1/Princess Lalla SALMA
3859835bdd009cad6a9454a4d576c63c.jpg
fafc4e3170f7e5bfc1a22648c9734493.jpg

Ana umri wa miaka 39
Ndiye mke wa King Mohammed VI wa Moroko mwenye umri wa miaka 54
Ndiye Mfalme bishoo aliyekuja bongo mwaka jana akiwa na mapozi na macho ya kurembua kiasi watu kumsimanga kwamba ni shoga ila Sizonje alilamba misaada
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane Jumatatu
Mwisho
......
Asante bitoz kwa top ten
 
Mimi ni mtu mstaarabu sana kwa watu wastaarabu mrembo Sakayo.

Angekuja kistaarabu ningemuelewa siyo kuleta mambo mengine ambayo siyo.

Kama vipi mwambie awe anatembea akiwa amekubeba mgongoni ili usitongozwe Mrembo.
Sakayo keshasema yupo na mimi ; its enough..

Afu pia wanaume huwa hatugombanii wanawake mkuu..

Umepiga sound umekuta ana mtu tayari...basi muache nenda zako.

Simple hivyo! And life goes..
 
1/Princess Lalla SALMA
3859835bdd009cad6a9454a4d576c63c.jpg
fafc4e3170f7e5bfc1a22648c9734493.jpg

Ana umri wa miaka 39
Ndiye mke wa King Mohammed VI wa Moroko mwenye umri wa miaka 54
Ndiye Mfalme bishoo aliyekuja bongo mwaka jana akiwa na mapozi na macho ya kurembua kiasi watu kumsimanga kwamba ni shoga ila Sizonje alilamba misaada
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane Jumatatu
Mwisho
......
Pamoja mkuu..

One love.
 
1/Princess Lalla SALMA
3859835bdd009cad6a9454a4d576c63c.jpg
fafc4e3170f7e5bfc1a22648c9734493.jpg

Ana umri wa miaka 39
Ndiye mke wa King Mohammed VI wa Moroko mwenye umri wa miaka 54
Ndiye Mfalme bishoo aliyekuja bongo mwaka jana akiwa na mapozi na macho ya kurembua kiasi watu kumsimanga kwamba ni shoga ila Sizonje alilamba misaada
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane Jumatatu
Mwisho
......
Asante Madenge
 
Makapuku.!Humu ndani kuna utani fulani hivi amazing.
Kuna groups wanataniana saanaa na hakuna ubaya.
Makapuku wengine wakijaribu kutania baadhi ya pairs au couples salalee.
Tafsiri ya makapuku ni watu wenye mtazamo mmoja mwelekeo mmoja na malengo yaliyo sawa.
Sasa daah! Mkwara unakuwa mzito sana.
Makapuku ni stress free zone. Pole mliokwazika na utani wangu.
kumbe ulikuwa wewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom