Makapuku Forum

Makapuku Forum

Bobdon komaa baba komaa mpaka kieleweke. Ikiwezekaba hata huo uchezaji wa kwaito unaotarajiwa uahirishwe
Thanks Mkuu shimba ya Buyenze.

Kila kitu ni kupambana Mkuu.
Nimeona nijitokeze hapa hapa kuonesha kuwa nina nia nzuri tu kwa huyu mrembo ambae amekuwa akinisumbua ndotoni kwa muda mrefu.

Pia kujitokeza wazi wazi ni jambo nzuri sana kuliko wale wanaokimbia kwenda PM.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom