Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Ni nini sasaHakunaaa
Ni nini sasaHakunaaa
Test ya tezi dume sasaaa majanga.Uzazi salama, boss hapo tezi dume ni simulizi tu
Hoooo!Uzazi salama, boss hapo tezi dume ni simulizi tu


Binadamu ana figo mbili,mapafu mawili ila ana ini moja tuNUKUU YA LEO
Great things in business are never done by one person. They're done by a team of people.
Vitu vikubwa kwenye biashara havifanywi na mtu mmoja, huwa vinafanywa na timu ya watu.
Haya maneno yaliwahi kutamkwa na mwanasansi, na mgunduzi computer za Mac Bwana Steve Jobs
Steve Jobs alizaliwa tar. 24/2/1955 mjini california nchini marekani na kufariki october 5 2011 akiwa na miaka 56.
Steve Jobs alizaliwa na wazazi wenye asili ya Syria na kuasiliwa na wazazi wa kimarekani waliomlea wakati wa utoto wake.
Steve Jobs atakumbukwa kuwa ni moja School drop-out kama kina Marck Zukerberg wa Facebook na baadhi ya matajiri wengine walioacha shule na kufanya kile walichokipenda na kuamini kuwa ndio sehemu ya mafanikio yao.
Steve Jobs alifariki kwa cancer ya Ini. Ila pia ukumbukwe Jobs alikuwa anatumia sana marijuana na LSD kama sehemu ya starehe..
![]()
![]()
![]()
Kuna mengi ya kuandika na kijifunza kutoka kwa Steve Jobs lakini kwa leo niishie hapa.
Morning wakuu.
Demi yuko wapi?Katibu mambo yako byeeee
Jovitha anakusalimia anakumbuka ule mkwara wa sku ile
Najua sakayo anataka wa kike ili tubalance familia.. 3 kwa 3Wa kike huyo ajaye
Sawa mkuuSiku tukimaliza mazoezi ya kwaito tunaingia Gym mkuu
Namtrain kidogo tuu for self defence
Habari yako![]()
![]()
shukran baba watoto
Morning T wa SakayoMorning fam
Happy born day kipenzi cha wajerumani1978 - Miroslav Klose anazaliwa.
Mshambuliaji wa zamani wa timu ya taifa ya Ujerumani.
Ndio mfungaji wa kihistoria katika mashindano ya Kombe La Dunia.
Halafu una uzazi wa karibu. Kitu na box. Ukigusa tu kituuuKazi yako itakuwa kuorodhesha majina
Wamefanana na mie bhanaHoooo!
Hawa madume 3 wa kwanza ni pacha mkuu..
Yaani ilikuwa jiwe moja dezaini likafyatua 3.
Alafu yanafanana na mimi hatareee...
Hadi kucheka mkuu kama Transcend tuu
Ila still I'm your shield mpaka uguswe basi apitie kwanza kwanguHahaha
Ndo maana alfajir nimekuambia naweza jilinda
Mayai yake sakayo yapo karibu. Na Mzee naye analenga shabaha vizuri. Konyagi si mchezoHakunaaa
Muacheni bhinamu yangu bhanaa leo ijmaa mtanikosesha offer ya nyagiiii....msimvuruge kama maua tutapewa kwa wakat
aaaaha kumbe offer zke eeeeh,sawaMayaiNi nini sasa