mzeewakungoa
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,969
- 13,920
Msimhukumu mapema.... Humjui speed zakeUmekoseaa njiaa mkuu
Msimhukumu mapema.... Humjui speed zakeUmekoseaa njiaa mkuu
HahaaaaaaWamefanana na mie bhana
Ilimradi anaweza kulea hamna tatizo, wacha tuijaze nchiSawa. Lakini watoto 6 Madame kwa umri wenu. Kijacho sio kimoja itakuwa Triplete. Jumla Nane. Mzee T anachekelea tu.
Pamoja mkuuLeo Katika Historia:
Niwatakie siku njema, Ijumaa Kareem.
Sure!Basi bado siku 16 tuvunje jungu
1959 - Nyambizi ya USS George Washington yazinduliwa huko Marekani.
Ilikuwa ni nyambizi ya kwanza inyotumia silaha za Nyuklia.
MkuuHalafu una uzazi wa karibu. Kitu na box. Ukigusa tu kituuu
Hahaha yeahHahaaaaaa
Wale wa kike sasa ndio wamefanana na mimi..
Pamoja joohUkipata muda pitia mkuu
Leo Katika Historia:
Leo ni Juni 9, ni siki ya 160 toka mwaka huu uanze na zimebaki siki 205 kabla ya mwaka huu Uishe.
Tuangazie matukio yaliyojiri tarehe na mwezi kama wa leo miaka iliyopita.

Haki sawa kwa wote50/50
Hayo maneno anatakiwa ayaseme TUnazeeka bado u mbichiiii ...
Eeka mbee..!Asante kwa nukuu mkuu
Aisee1959 - Nyambizi ya USS George Washington yazinduliwa huko Marekani.
Ilikuwa ni nyambizi ya kwanza inyotumia silaha za Nyuklia.
Watu wanapenda kunivurugia kweliHayo maneno anatakiwa ayaseme T
See you laterWatu wanapenda kunivurugia kweli
Soon kibarua kitaota nyasiHahaha
Ndo maana alfajir nimekuambia naweza jilinda
Asante mkuu kwa nyongeza ...Binadamu ana figo mbili,mapafu mawili ila ana ini moja tu
Kazi rasmi ya ini ni Kubreak protein![]()
Yaani ni an enzyme
Ila kibongobongo kila kitu tunachokula kina sumu nafikiri ini ndo linalosaidia pia kuua sumu km ilivyo kwa figo ambazo huchuja majitaka(mkono)
Magonjwa ya ini ni hatari maana likiharibika tu ni balaa japo huweza "kupandikizwa"
Kwahiyo ukiharibu ini utazidiwa na sumu sijui zaidi na kila utakapokula ndo unazidi kuliharibu zaidi na huwezi kamwe kuishi bila kula
Kifo kitakuita
NB:
Sikumbuki vizuri Biology
...,......
HaaaaahaaaaKazi yako itakuwa kuorodhesha majina
Asante mkuuLeo Katika Historia:
Niwatakie siku njema, Ijumaa Kareem.