Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
OMGKwangu mie nimekuondoa kwenye nafasi ya umakini
Ubarikiwe Mama mchungajiSafi sana wimbo mzuri,nasmini Obe anaupitia,asante mkuu Nyagei![]()
Kumfinya boss ni sawa na kujitoa kazini SIWEZINjoo nisaidie kumfinya
AmenShalom mkuu Nyagei za uzima,Peace be with you![]()
Unashangaa kuhusu picha?Heee
Siasa ya Tz nayo ni kama gambling sasaTafakar ya kirat. ..![]()
YakheeNawzungumzia wa unguja hivyooo!!!
Wanajali kufutari atiiii..
Na kutandikana bakora..
(kwa sauti ya kipemba)
Samahani mkuu kidogoID ya zamani bila shaka itakuwa ulishamtolea nje na sasa ameamua kujisulubu upya. Ila wanawake kusema kweli mna kazi. Imagine kutongozwa hivi kila siku. Mi ningekuwa napigana kila siku![]()
Lugha ya code hii
East Africa sehemu gani hiyo
Inashangaza sana
Mkuu nawe uko na hii sapiosexual?
Kazi imewafanya wawe watumwa maana 40 years bila kuwasiliana
Kama hauko attracted kwa shem basi tena🙂 🙂 🙂 🙂 🙂 🙂