Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ukweli tunapaswa kuombea taifa letu ,mambo ni mengi mno ,mahali hapa tunaweza kuungana pamoja kuomba na kuona ukuu wa Mungu katika kila jambo

YAKOBO 5

16.b...kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana,akiomba kwa bidii.

17.Eliya alikua mwanadamu mwenye tabia moja nasisi,akaomba kwa bidii mvua isinyeshe,na mvua haikunyesha juu ya nchi muda wa miaka mitatu na miezi sita.

18.Akaomba tena,mbingu zikatoa mvua,nayo nchi ikazaa matunda yake.

Shalom
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom