Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
sina malengo nae yeyote huyo ni kaka kwanguUna malengo gani naye?
sina malengo nae yeyote huyo ni kaka kwanguUna malengo gani naye?
Mwee..kwa uma au stick?Ndio tunakulanaaaa
Scrambler tena?Hs
Hahaha... karibu scrambler
kama nipo kwa mushenga ndio unanifukuzaSi upo kwa mushenga
Looooohwe si ndio ulikua unaombea aoe kabisa huko huu ukarimu wa leo mbona siuelewi
Ukweli tunapaswa kuombea taifa letu ,mambo ni mengi mno ,mahali hapa tunaweza kuungana pamoja kuomba na kuona ukuu wa Mungu katika kila jambo
YAKOBO 5
16.b...kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana,akiomba kwa bidii.
17.Eliya alikua mwanadamu mwenye tabia moja nasisi,akaomba kwa bidii mvua isinyeshe,na mvua haikunyesha juu ya nchi muda wa miaka mitatu na miezi sita.
18.Akaomba tena,mbingu zikatoa mvua,nayo nchi ikazaa matunda yake.
Shalom![]()

kulana nini tena baba dNdio tunakulanaaaa
Mi ndio mtekaji shunie sitekwi kirahisiukipata wa kukupenda hakuna namna acha akuteke
habari za saa zimeanza![]()
![]()
Vya nini sasa ...kitu live bila chengaaaMwee..kwa uma au stick?
Uniachie bhinamukama nipo kwa mushenga ndio unanifukuza
Ahahah, huu mtego sasawe si ndio ulikua unaombea aoe kabisa huko huu ukarimu wa leo mbona siuelewi
alikua anaongea kipindi upo porini mara unachoma mkaa mara kwa nini nakuacha mwenyewe porini ukioa huko je najiamini niniLoooooh
🙂 🙂 🙂 🙂Shangazi, sijaleta habari za saa, nimeongelea kuhusu kumiliki saa na simu ya tachi yaani kama bakhresa tu, mimi na Bakhresa tuko sawa wote tunamiliki saa na simu
Unbelievable!! Teh teh tehsina malengo nae yeyote huyo ni kaka kwangu
basi tekaneni Tetra hakuna namnaMi ndio mtekaji shunie sitekwi kirahisi
Naona unategaScrambler tena?
Shangazi, sijaleta habari za saa, nimeongelea kuhusu kumiliki saa na simu ya tachi yaani kama bakhresa tu, mimi na Bakhresa tuko sawa wote tunamiliki saa na simu
binamu ebu niache kwanzaNipo My..Demi wake .....upo??
kula nini baba dVya nini sasa ...kitu live bila chengaaa