Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Kiongozi tapelitapeli kiasi kwamba Dar/Tz ikafananishwa nae na kuitwa Bongo
![]()
![]()
![]()
.......

Kiongozi tapelitapeli kiasi kwamba Dar/Tz ikafananishwa nae na kuitwa Bongo
![]()
![]()
![]()
.......

Poor Abacha,kumbuka alikua katika dhambi pia ,angerudi nyumbani kunyonya yasingemkuta,tamaaa mbaya kwakweliKumbe breast ni nouma! Aliambiwa bebi ninyonye maziwa! Maskini General Abacha.
Kumbe breast ni nouma! Aliambiwa bebi ninyonye maziwa! Maskini General Abacha.
eti baby ninyonye maziwaAnavutia sanaaaaMambo Muhimu usiyo yajua kuhusu Twiga
Twiga ana miguu mirefu,shingo ndefu sana,ulimi mrefu na pembe fupi zilizo butu.Mwili wake una mabaka yenye rangi ya kikahawia(njano )na kuzungukwa na rangi ya maziwa.
Mnyama huyu anapatikana katika nyika hususan sehemu zenye migunga pamoja na mikakaya,miti ambayo huifurahia sana na ni chakula chake kikuu.
Twiga hana ushindani mkubwa wa chakula na wanyama wengine kwa vile yeye hula majani ya juu nchani wakati wanyama wengine hawafikii majani hayo.
Twiga ana urefu wa kati ya mita 4.8 na 5.5 Uzito wake ni kati ya kilo 700 na 1500.Twiga jike ana rangi ng'avu zaidi kuliko dume.Hii inaweza kuwa ni maumbile ya kuwavutia Twiga dume.Dume ni mkubwa na mzito kuliko jike.View attachment 521248
Urefu wa ulimi wake ni kati ya sentimeta 46 hadi 50 wakati ambapo urefu wa moyo ni meta 0.6 Ana uwezo wa kukimbia kilometeta 55 kwa saa.Mkia wake ambao ni meta 2.4 ni mrefu kuliko mikia ya wanyama wote duniani.
Twiga huzaa mtoto mmoja kwa mara moja na huweza kuishi kati ya miaka 20 hadi 30.Huchukua mimba kwa muda wa miezi 14.15 hadi 15.mtoto anapozaliwa huwa na uzito wa kati ya kilo 45 hadi 70 na urefu wa mita1.8
Shingo yake ndefu hufanya mwendo wake kuwa wa madaha na kuwavutia watu wengi.View attachment 521247
Mutu ya congo upoooHallelujaaah..... Bwana Yesu asifiwe.....nawatakia siku njema.
+Twiga ndiye mnyama ambaye ni nembo ya Taifa la TanzaniaMambo Muhimu usiyo yajua kuhusu Twiga
Twiga ana miguu mirefu,shingo ndefu sana,ulimi mrefu na pembe fupi zilizo butu.Mwili wake una mabaka yenye rangi ya kikahawia(njano )na kuzungukwa na rangi ya maziwa.
Mnyama huyu anapatikana katika nyika hususan sehemu zenye migunga pamoja na mikakaya,miti ambayo huifurahia sana na ni chakula chake kikuu.
Twiga hana ushindani mkubwa wa chakula na wanyama wengine kwa vile yeye hula majani ya juu nchani wakati wanyama wengine hawafikii majani hayo.
Twiga ana urefu wa kati ya mita 4.8 na 5.5 Uzito wake ni kati ya kilo 700 na 1500.Twiga jike ana rangi ng'avu zaidi kuliko dume.Hii inaweza kuwa ni maumbile ya kuwavutia Twiga dume.Dume ni mkubwa na mzito kuliko jike.View attachment 521248
Urefu wa ulimi wake ni kati ya sentimeta 46 hadi 50 wakati ambapo urefu wa moyo ni meta 0.6 Ana uwezo wa kukimbia kilometeta 55 kwa saa.Mkia wake ambao ni meta 2.4 ni mrefu kuliko mikia ya wanyama wote duniani.
Twiga huzaa mtoto mmoja kwa mara moja na huweza kuishi kati ya miaka 20 hadi 30.Huchukua mimba kwa muda wa miezi 14.15 hadi 15.mtoto anapozaliwa huwa na uzito wa kati ya kilo 45 hadi 70 na urefu wa mita1.8
Shingo yake ndefu hufanya mwendo wake kuwa wa madaha na kuwavutia watu wengi.View attachment 521247
Bitoz wa mabibo nakuonaa unavua kambaleNa wewe si ujuane?
![]()
![]()
![]()
.....
Kwahiyo nchi zingine hakuna twigwa?!+Twiga ndiye mnyama ambaye ni nembo ya Taifa la Tanzania
Duniani kote wanyama ni utambulisho wa Taifa Fulani
Mfano
Uganda ni korongo(flamingo) wakati USA ni tai(Eagle)
........
Na wewe si utengane?
![]()
![]()
![]()
Tatizo mnapenda kushobokewa
Humu hashobokewi mtu
Km mtu anapapenda ni jukumu lake mwenyewe kujichanganya na siyo blah blah
Mfano hujamquote mtu yoyote halafu ukakaushiwa ila kelele nyingi
.......

Mie ninaumia kwa mbaalii.Yap,ila ujue kuna watu wanaumiaaaa wanatamani wao ndio wangekuwa mukongo
Swali zurKwahiyo nchi zingine hakuna twigwa?!
Ni uchaguzi binafsi wa nchiKwahiyo nchi zingine hakuna twigwa?!
Haya.Tutaonaa
Umeona Husna.![]()
![]()
![]()
![]()
humu utajiri na usomi wake itabidi aviache kando
Kifupi ni mdebwedo auNi uchaguzi binafsi wa nchi
Kwani hajawahi kuona hata bendera hufanana
Hutumika kwa ajili ya utalii na pia kutambulisha nguvu/tabia ya Taifa husika
Mfano
USA wanatumia Eagle na ni taifa babe kijeshi na kiuchumi wakati Tz tunatumia Twiga ni Taifa lenye ukarimu na upole/unyonge karibia kila kitu kuanzia uchumi hadi michezo
![]()
![]()
![]()
......
Miii chimooo kabichaaaChacha uchipochema unakosea
Asante mkuuMambo Muhimu usiyo yajua kuhusu Twiga
Twiga ana miguu mirefu,shingo ndefu sana,ulimi mrefu na pembe fupi zilizo butu.Mwili wake una mabaka yenye rangi ya kikahawia(njano )na kuzungukwa na rangi ya maziwa.
Mnyama huyu anapatikana katika nyika hususan sehemu zenye migunga pamoja na mikakaya,miti ambayo huifurahia sana na ni chakula chake kikuu.
Twiga hana ushindani mkubwa wa chakula na wanyama wengine kwa vile yeye hula majani ya juu nchani wakati wanyama wengine hawafikii majani hayo.
Twiga ana urefu wa kati ya mita 4.8 na 5.5 Uzito wake ni kati ya kilo 700 na 1500.Twiga jike ana rangi ng'avu zaidi kuliko dume.Hii inaweza kuwa ni maumbile ya kuwavutia Twiga dume.Dume ni mkubwa na mzito kuliko jike.View attachment 521248
Urefu wa ulimi wake ni kati ya sentimeta 46 hadi 50 wakati ambapo urefu wa moyo ni meta 0.6 Ana uwezo wa kukimbia kilometeta 55 kwa saa.Mkia wake ambao ni meta 2.4 ni mrefu kuliko mikia ya wanyama wote duniani.
Twiga huzaa mtoto mmoja kwa mara moja na huweza kuishi kati ya miaka 20 hadi 30.Huchukua mimba kwa muda wa miezi 14.15 hadi 15.mtoto anapozaliwa huwa na uzito wa kati ya kilo 45 hadi 70 na urefu wa mita1.8
Shingo yake ndefu hufanya mwendo wake kuwa wa madaha na kuwavutia watu wengi.View attachment 521247
Hawezi kujibu? NimtamfuataUtanitag jib
Asante mamaMATHAYO 7
7. Ombeni nanyi mtapewa,tafuteni nanyi mtapata,bisheni nanyi mtafunguliwa.
Mungu ulisema niombe nami nitapewa.Na nitafute nami nitapata.Nibishe nami nitafunguliwa.
MPENDWA
USIACHE KUOMBA,KANUNI HII INATUHAKIKISHIA KUPATA TUTAKACHOOMBA KWA IMANI![]()
NAWATAKIA MCHANA MWEMA![]()
![]()