Makapuku Forum

Makapuku Forum

Tanga 0
Leopalds 0
Yanga kufungwa 4:2 kwa penati
......
Hivi timu za Tanzania hasa Yanga na Simba (wawakilishi wa kimataifa) zina nini lakini? Miaka nenda miaka rudi zenyewe mara nyingi ni kutandikwa tu huko ugenini. Why? Hakuna anayejua sababu? Buta again haishangazi. We are not serious in anything...
 
Roho inakuumaa
Vibaya mno! Shunie dah!
6cd65346addffc29874f7ec9c2125cd5.jpg
 
Mpelekee salamu mwambie habari ya VUMBI LA CONGO na supu za pweza, kwa sasa si dhani kama lina nafasi kwa malkia mtulivu kama mama Mchungaji. Nimejizatiti kwa Mbegu za maboga, mdalasini wa India, Asali ya nyuki wadogo na vitunguu swahumu vya bongo, sio vile vya south Africa.
Booster! Hivi hivi huwezi? Mama weee.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom