ipogolo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 6,280
- 5,987
Mamndenyi eeeeh! Kwa nini wanawake wanazuia waume zao kuzaa na wanawake wengine wakati wao KITANDA HAKIZAI HARAMU?
Mamndenyi eeeeh! Kwa nini wanawake wanazuia waume zao kuzaa na wanawake wengine wakati wao KITANDA HAKIZAI HARAMU?
Hapo chini VP mkuu?Hi ni kwamba alikimbilia wapi baada ya matokeo?
"ALIYEPUNGUKIWA NA AKILI UWAONEA WATU"
Utanitag jibMamndenyi eeeeh! Kwa nini wanawake wanazuia waume zao kuzaa na wanawake wengine wakati wao KITANDA HAKIZAI HARAMU?
Mweeemweee Mzee!Utani wa kupelekana guest.... Utani gani huo.
Ni Signature mkuu, kuna raia wanakera sana kule kwenye siasa na wanatetea upuuzi na uonevu husiokuwa na mantiki. Hii huwa ni text kwao. Ila nafikiria kui Hide.Hapo chini VP mkuu?
Ni Signature mkuu, kuna raia wanakera sana kule kwenye siasa na wanatetea upuuzi na uonevu husiokuwa na mantiki. Hii huwa ni text kwao. Ila nafikiria kui Hide.
Pia ni nukuu kutoka katika kitabu kitakatifu.

Nafikiri bado nafanyiwa screening ya kutosha, kuchukua nafasi ya Baba mchungaji. Na litawezekana.Yataka moyo
Nafikiri bado nafanyiwa screening ya kutosha, kuchukua nafasi ya Baba mchungaji. Na litawezekana.
utasubiri saana
MmmmmhNafikiri bado nafanyiwa screening ya kutosha, kuchukua nafasi ya Baba mchungaji. Na litawezekana.
Kiongozi tapelitapeli kiasi kwamba Dar/Tz ikafananishwa nae na kuitwa BongoNdio huyo huyo Raos wa Maisha.
Kumbe breast ni nouma! Aliambiwa bebi ninyonye maziwa! Maskini General Abacha.1998 - Rais na Jenerali wa Nigeria Sani Abacha anafariki Dunia.
Alifariki akiwa anafanya mapenzi na machangudoa wawili wa Kiasia katika Ikulu ya Nigeria na alizikwa siku hiyo hiyo bila kufanyiwa uchunguzi. Inaaminika aliteheshewa sumu katika matiti.
Alikuwa ni dikteta wa Nigeria ambapo alitawala kwa mkono wa chuma.
Katika utawala wake, Mwanafasihi mashuhuri Wole Soyinka alikimbia Nchi kutokana na kutishiwa uhai wake.
Chacha uchipochema unakoseaMmmmmh
Chichemiii
Wole Soyinka ni kichwa sanaAlisepa matokeo yalipotoka Marekani mara
MATHAYO 7

HakikaSole Soyinka ni kichwa sana
Alikuwa Mhadhiri kule USA
.....
Alafu wapuuzi wanauita eti uzi wa watoto wakati tumewazidi maarifa ila wao wametuzidi mvi tuunajua kila kitu mkuu
Heri dogo mwenye akili kuliko babu jinga/mpumbavu
Wooiw!!!! This is twigaMambo Muhimu usiyo yajua kuhusu Twiga
Twiga ana miguu mirefu,shingo ndefu sana,ulimi mrefu na pembe fupi zilizo butu.Mwili wake una mabaka yenye rangi ya kikahawia(njano )na kuzungukwa na rangi ya maziwa.
Mnyama huyu anapatikana katika nyika hususan sehemu zenye migunga pamoja na mikakaya,miti ambayo huifurahia sana na ni chakula chake kikuu.
Twiga hana ushindani mkubwa wa chakula na wanyama wengine kwa vile yeye hula majani ya juu nchani wakati wanyama wengine hawafikii majani hayo.
Twiga ana urefu wa kati ya mita 4.8 na 5.5 Uzito wake ni kati ya kilo 700 na 1500.Twiga jike ana rangi ng'avu zaidi kuliko dume.Hii inaweza kuwa ni maumbile ya kuwavutia Twiga dume.Dume ni mkubwa na mzito kuliko jike.View attachment 521248
Urefu wa ulimi wake ni kati ya sentimeta 46 hadi 50 wakati ambapo urefu wa moyo ni meta 0.6 Ana uwezo wa kukimbia kilometeta 55 kwa saa.Mkia wake ambao ni meta 2.4 ni mrefu kuliko mikia ya wanyama wote duniani.
Twiga huzaa mtoto mmoja kwa mara moja na huweza kuishi kati ya miaka 20 hadi 30.Huchukua mimba kwa muda wa miezi 14.15 hadi 15.mtoto anapozaliwa huwa na uzito wa kati ya kilo 45 hadi 70 na urefu wa mita1.8
Shingo yake ndefu hufanya mwendo wake kuwa wa madaha na kuwavutia watu wengi.View attachment 521247