Makapuku Forum

Makapuku Forum

1977 - Kanye West anazaliwa.

Ni mwanamuziki wa Hiphop toka Marekani.
c3fd2a970a93f23a34d7aba9ad6ec9f7.jpg
4bba4efa793d0357a55d29bbaed5e26e.jpg

Ni mmoja kati ya wanamuziki 10 wa Hip hop wenye mpunga mrefu
Ni mume wa Kim Kardashiana na wamejaaliwa watoto wawili(sijui mapacha) na hawatarajiwi kuongeza kutokana na matatizo ya kiafya/uzazi aliyonayo Kim ambayo ameshauriwa asibebe tena ujauzito
......
 
c3fd2a970a93f23a34d7aba9ad6ec9f7.jpg
4bba4efa793d0357a55d29bbaed5e26e.jpg

Ni mmoja kati ya wanamuziki 10 wa Hip hop wenye mpunga mrefu
Ni mume wa Kim Kardashiana na wamejaaliwa watoto wawili(sijui mapacha) na hawatarajiwi kuongeza kutokana na matatizo ya kiafya/uzazi aliyonayo Kim ambayo ameshauriwa asibebe tena ujauzito
......
Kuna kipindi mapenzi yanataka Moyo na firigisi ili yawe sawa.
 
1984 - Javier Mascherano anazaliwa.

Mchezaji wa Barcelona na timu ya taifa ya Argentina.
cebc6822e33631c04ec8347287b11c60.jpg
44b1b81c3e04300178aa4101037c0153.jpg

west Ham ndo iliyowatangaza
Walisajiliwa siku moja na kuingia EPL kwa ushamba....wakafanya kweli mmoja akasajiliwa Liverpool mwingine Man Utd
Tevez akiwa West Ham anakumbukwa kwa kufunga goli pekee dhidi ya Man Utd pale Old Trafford na kuwaokoa kushuka daraja
Mwisho wa siku SAF akamnyakua kimagumashi
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom